pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Mmmmh yaani haya ni mautammm ariff
daah mbn sehemu nyingi za 11 zmejirudia 12 mkuu....aisee kastory katamu haka
Mi ningeomba kujua threads zake nyngine za hadith ntazionaje?
nina miaka miwili JF naingia kwa simu na sijawahi kumpa mtu like shauri ya uwezo wa simu yangu.
unavyosema mtumiane pm ma likers huoni kuwa unatuonea?
TAfuta thread iliyoandikwa "story za mzizimkavu" utaona link ya story zake za nyuma.
Mi ningeomba kujua threads zake nyngine za hadith ntazionaje?
Jamani nitazipata wapi hadidhi zingine za mzizimkavu?