Hadithi: Uchawi wa bilionea Bazoka

NYEMO CHILONGANI
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA
SEHEMU YA 13

Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.

Je, nini kitaendelea?
sasa mbona unarudia rudia bana
 
NYEMO CHILONGANI
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA
SEHEMU YA 13

Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.

Je, nini kitaendelea?
Yani Bi Semeni amekuja kufanya yake hadi Jf
Imagine episode 1 inajirudia tuu!!!!
 
Niliwaita kimya

Ni ya muda ila hii kiazi inapost baada ya miezi

Ikivuna wasomaji inasepa wakipungua huko inarudi
Dah naona hatukupata notification, sema kwa mwendo huu sijajua itaisha lini,
Tuendelee kuwa wavumilivu tu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom