Hadithi: Uchawi wa bilionea Bazoka

Hadithi: Uchawi wa bilionea Bazoka

NYEMO CHILONGANI
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA
SEHEMU YA 13

Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.

Je, nini kitaendelea?
Ndo nimesoma Hapa Kaka Umeiludia Ep moja mara tatu sema sio mbaya Ngoja Tusubiri.
 
NYEMO CHILONGANI
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA
SEHEMU YA 13

Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.
Mtu ambaye alimtaka kwa udi na uvumba alimuona, alikuwa Bibi Semeni ambaye kwa stori za mtaani hapo aliambiwa alikuwa mwanamke mchawi, aliyeogopwa kila kona.
Hakutaka kukubali, hapakuwa na kitu ambacho Bazoka alikuwa akikiamini kama uchawi aliokuwa akiutumia, ulikuwa mkubwa, kutoka kuzimu ambapo aliamini kwa mwanamke huyo hakuwa amefika huko.
Ilikuwa ni lazima kummaliza kwa kuwa alihitaji sana kufanikiwa zaidi kwenye mambo yake. Aliwaambia wenzake, yaani Bonge na Sultani kuhusu Bibi Semeni, jinsi alivyokuwa akisifika kwa uchawi, walichomwambia ni kuwa alitakiwa kuhakikisha anammaliza kwani kwa uchawi waliokuwa wakiutumia ulikuwa mkubwa mno.
Ili kumpata mwanamke huyo ilikuwa ni lazima awe anakwenda huk kumuona, ilikuwa ni lazima kuomba naye ukaribu lakini mwisho wa siku afanikiwe kwa kile alichokuwa akikitaka.
Alihitaji kufahamu mengi kuhusu Bi. Semeni hivyo alitakiwa kuongeza ukaribu wake na Frank ambaye ndiye angemwambia mengi kuhusu mwanamke huyo. Kwa jinsi alivyokuwa akimuuliza, hata Frank mwenyewe alishangaa, hakuamini mtu kama Bazoka angehitaji kufahamu mengi kuhusu mwanamke huyo, alikuwa mchawi, mtu aliyeogopwa na watu wote katika mtaa huo, sasa kwa sababu gani alitaka kumfahamu zaidi mwanamke huyo?
“Kwani wewe wa nini?” aliuliza Frank, macho yake yalikuwa yakimshangaa Bazoka.
“Ninataka nimzoee, nahisi anaweza kunisaidia mengi tu hapo baadaye, si unajua mambo yetu ya upande wa pili haya,” alimjibu huku akijitahidi kuonyesha tabasamu kumdanganya Frank kwaba kila kilikuwa sawa kabisa.
“Yule bibi mchawi sana!”
“Umejuaje? Huwezi kumuita mtu mchawi kama wewe si mchawi,” alimwambia.
“Aliwahi kuniroga, alimuwangia sana mke wangu!” alimjibu.
“Na una uhakika gani kwamba yeye ndiye alifanya hivyo?” alimuuliza, alihitaji kujua ukweli.
“Nilikwenda kwake!”
“Kufanya nini?”
“Kuweka dawa, aisee nilichokutana nacho sikuamini macho yangu,” alimwambia.
“Ulikutana na nini?”
“Makaburi!”
“Makaburi?”
“Ndiyo! Nilikutana na makaburi, tena yakiwa kwenye eneo la nyumba yake, unaweza kuamini hilo?” alijibu na kuuliza kwa mshangao.
Bazoka alikaa kimya huku akimwangalia Frank, kwa yale aliyomwambia yalionyesha jinsi bibi huyo alivyokuwa hatari kwenye mambo ya ulozi lakini hakutaka kuacha, ilikuwa ni lazima afanye kila linalowezekana kuhakikisha anaonana na mwanamke huyo, amzoee lakini mwisho wa siku amuue kama alivyotaka kufanya.
Kwa kuwa ilikuwa ni mchana, akaondoka nyumbani kwa Frank na kuelekea kwa Bi. Semeni, alipoingia kwenye uwanja huo tu, kila mtu aliyekuwa jirani akaanza kumwangalia, hapakuwa na aliyeamini kama kweli kungekuwa na mtu ambaye angeingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, bibi huyo alitisha, alikuwa mtu hatari ambaye hakutakiwa hata kusogelewa, sasa ilikuwaje mwanaume huyo aingie ndani ya nyumba hiyo na kujiaminisha kabisa.
Bazoka akaanza kuusogelea mlango, alipoufikia, akagonga, baada ya dakika kama moja, ukafunguliwa na Bi. Semeni ambaye alimshangaa Bazoka, hakuwahi kupokea ugeni, ndugu zake, marafiki zake wote walimtenga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo alihitaji nini?
Inawezekana alitaka kupanga chumba lakini pia alijua kila mtu aliyetaka kwenda kupanga hapo kabla ya kuifikia nyumba hiyo, aliwahiwa na majirani na kuambiwa asiende kupanga kwa kuwa alikuwa mchawi, sasa huyo mwanaume alihitaji nini?
“Karibu!” alimkaribisha nyumbani hapo.
“Naruhusiwa kuingia ndani?” aliuliza.
“Unahitaji nini?”
“Kuzungumza na wewe!” alijibu.
“Kuhusu nini?”
“Kwanza ningeingia ndani,” alimwambia.
Kwa Bi. Semeni hapakuwa na tatizo, akamkaribisha mpaka ndani, akaingia huku akiangalia mandhari ya nyumba hiyo, alijifanya kuwa rafiki lakini upande wa pili kulikuwa na kitu alichokuwa akihitaji.
Ilikuwa ni lazima kujenga urafiki mkubwa na mwanamke huyo, amwamini lakini mwisho wa siku akamilishe kile alichokuwa akikihitaji, kwenye kufikiria hayo yote, akapata jibu kwamba ili awe karibu naye zaidi ilikuwa ni lazima amwambie alihitaji chumba na aliambiwa aende katika nyumba ile.
Hilo likaonekana kufaa na kumwambia mwanamke huyo. Bi. Semeni alishangaa, ilikuwa kirahisi mno, alimwambia Bazoka kwa jinsi alivyokuwa na wasiwasi kwamba kweli alihitaji chumba ama kulikuwa na jambo jingine, akamsisitizia ni kweli alihitaji chumba.
“Nimehangaika sana! Tena sana mama yangu!” alimwambia huku akimwangalia.
“Nani alikuelekeza hapa?”
“Kuna mwanaume nilionana naye hapo mtaa wa nyuma, cha ajabu kila dalali niliyemtaka anilete kwenye nyumba hii nzuri, alikataa,” alimwambia.
“Hukuuliza kwa nini walikataa?”
“Sikuuliza! Labda uniambie wewe!” alimwambia.
Bi. Semeni akatoa tabasamu la mbali kabisa huku akimwangalia Bazoka, alihisi kabisa alikuwa akidanganywa na mwanaume huyo, kulikuwa na jambo jingine ambalo hakutaka kumwambia, alihitaji kulifahamu jambo hilo, lilikuwa ni lipi hasa?
Haikuwa kawaida kuja tu kutoka huko ulipokuwa na kwenda nyumbani hapo, eti ulihitaji chumba, nani alikwambia kulikuwa na chumba? Alihitaji kufahamu mengi.
Bazoka alipoona mwanamke huyo anakuwa na hofu sana, akaamua kumdanganya kuwa alihitaji sana kukaa karibu na mke wake, walipendana lakini kwa kipindi hicho waligombana kwa kuwa hakuwa akimwamini.
Nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu, muda wote walikuwa wakigombana, alipotoka kazini na kwenda nyumbani hapo, hakuwa akipata furaha, alikutana na maneno makubwa na malalamiko kutoka kwa mkewe, hivyo aliamua kuondoka nyumbani hapo na kwenda kupanga.
“Unaishi wapi?” aliuliza Bi. Semeni.
“Kijitonyama!”
Walizungumza kwa dakika kadhaa na mwisho kabisa Bi. Semeni akakubali kumpangisha chumba mwanaume huyo, hakuwa amemjua, hakujua lengo lake lakini kwa kuwa alijiamini alikuwa mchawi, basi hakuhofu kama mtu huyo angembabaisha kwa lolote lile.
Siku hiyohiyo Bazoka akaenda kununua baadhi ya vitu vya ndani na kuviingiza, kila mtu aliyekuwa akimuona alishangaa, ilikuwa ajiamini kwenda kuishi ndani ya nyumba hiyo? Tena kwa mwanamke mshirikina kama alivyokuwa Bi. Semeni, hakika kila mtu akataka kufahamu ni kwa namna gani mwanaume huyo alikuwa amechanganyikiwa.
“Sitokuwa nalala siku zote, mara chache nitakuwa nakuja kulala hapa,” alisema Bazoka.
“Haina shida.”
“Ila kwa wiki hii nitalala siku zote, nitamwambia nimesafiri! Hizi ndoa zina majanga sana,” alisema Bazoka na kucheka kidogo.
Siku hiyohiyo Bazoka akarudi nyumbani kwake na kuzungumza na mke wake, alichomwambia ni kuwa alipata safari ya Ghafla kuelekea nchini Uganda hivyo alitakiwa kuondoka siku hiyohiyo kwani kulikuwa na mambo yake alikuwa akienda kuyarekebisha.
Mkewe hakuwa na tatizo hata kidogo, hakuwahi kumfumania mume wake ama hata kuhisi kwa lolote lile, alikuwa mwanaume mwamifu sana, akakubaliana naye na kuondoka zake, safari yake iliishia Magomeni ndani ya chumba chake kipya.
Mpaka muda huo bado Bi. Semeni hakuwa akiamini kama kweli mpangaji wake aliyekuwa kupanga kwake alikuja kupanga kama wapangaji wengine kwenye nyumba nyingine ama kulikuwa na kitu.
Alitaka kujua kama kulikuwa na kitu ni kitu gani lakini hakupata jibu kabisa. Akaamua kukubaliana naye ila kama ilivyokuwa hata kwa wachawi mwengine ilikuwa ni lazima kumjaribu usiku kuona kama alikuwa na kinga yoyote ile.
Alijipanga vilivyo, alicheka mbele ya macho ya Bazoka lakini moyoni mwake alipanga mambo yake kwa lengo la kuhakikisha anafanya lolote lile kuhakikisha anamloga kijana huyo, amtingishe kwanza ili kuuona uwezo wake.
“Nitaanza kazi hiyo leo,” alisema Bi. Semeni, moyo wake ulikuwa na kiu kubwa kuhakikisha anamloga Bazoka usiku huo.

Je, nini kitaendelea?
Hii hadithi kama movie ya tenet vile matukio yanajirudia naona nimesoma sehemu zile zile mara kumi
 
NYEMO CHILONGANI
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA
SEHEMU YA 14

Bi. Semeni alikuwa mchawi kama wachawi wengine, kila mtu aliyekuwa akihamia mtaani ilikuwa ni lazima kumjaribu kuona alikuwa na nguvu gani, hilo ndilo ambalo alitaka kulifanya hata kwa Bazoka ambaye alihamia nyumbani kwake hapo.
Usiku kabisa akajiandaa kwa ajili ya kwenda kufanya uchawi wake kama kawaida, aliondoka kitandani, nafsi ikaenda kuwanga huku mwili wake ukibaki kitandani hapo, akatokea chumbani kwa Bazoka ambaye alikuwa amelala huku akiwa hana lolote lile.
Bi. Semeni alisimama pembeni huku akiwa na mtupu kama alivyozaliwa, uso wake ulikuwa na masizi, kiunoni alikuwa na shanga kubwa na mkononi mwake alikuwa na tunguli, alimsogelea BAzoka pale kitandani alipokuwa na kuanza kumwangalia.
Hakuwa na kinga yoyote ile, hilo likamfanya Bi. Semeni kuanza kumuwangia huku akionekana kuwa na furaha kabisa, alimchezea alivyotaka, alimchukua na kumpeleka huko kwa wenzake, kila mmoja alimsifu kwani kwa kitendo cha kumpeleka mtu mpya kwenye kundi la wachawi kama alivyokuwa amefanya ilikuwa sifa kubwa mno.
Walicheza ngoma zao, walifurahia na baada ya hapo wakawapeleka shambani ambapo walilima na kurudishwa baadaye kabisa.
Sasa moyo wake ukaridhika, alitaka kujihakikishia kama mtu aliyekwenda kupanga kwake alikuwa na nguvu za namna gani, hakuwa na lolote lile, yaani alikuwa mtupu kabisa.
Asubuhi ilipofika, Bazoka akaamka usingizini, alikuwa amechoka mno, haikuwa kawaida, alihisi kama alitoka kufanya kazi nzito, alikuwa akijiuliza lakini hakuata jibu lolote lile.
Akatoa shuka mwilini mwake, kilichomshangaza, miguu yake ilikuwa michafu mno, hapo hakutaka kujiuliza tena, alijua kilichokuwa kimetokea, yaani alichukuliwa usiku wa manane na kwenda kufanyishwa kazi za shambani, na mtu aliyefanya hivyo hakuwa mwingine bali alikuwa Bi. Semeni.
Hakutaka kujali kwani alijua tu mwanamke huyo hakuwa hata na wiki mbili za kuendelea kuishi, akasimama kutoka kitandani na kwenda kuoga, alipomaliza, akatoka ndani na kuelekea ukumbini ambapo akamkuta Bi. Semeni akiendelea na mambo yake.
“Mama! Shikamoo!” alimsalimia huku uso wake ukiwa na tabasamu pana kana kwamba hapakuwa na lolote lile lililotokea.
“Marahaba mwanangu hujambo!” aliitikia.
“Sijambo tu! Pole na kazi!” alimwambia.
“Nashukuru!”
Wakaanza kuongea kwa dakika kadhaa, kila mmoja alionekana kuwa na furaha kumuona mwenzake asubuhi hiyo, baada ya dakika kadhaa, Bazoka akaondoka na kuelekea kwenye biashara zake.
Hakutaka kuwasiliana na mtu yeyote yule kwa kutumia simu, aliitoa laini yake, akanunua nyingine mpya kwani hakutaka mkewe kumpata kabisa, alichokuwa akikifanya ni kuwasiliana naye kwa kutumia WhatsApp tu, alifanya hivyo kwa kuwa alitaka kumuaminisha alikuwa nchini Uganda.
Akataka kuonana na washikaji zake, Bonge na Sultani, hilo halikuwa tatizo, akawapigia simu na baada ya kukubaliana, wakaonana mahali na kuanza kupata kifungua kinywa pamoja.
“Yaani sijakuelewa...” alisema Bonge.
“Nimepanga chumba maeneo ya Magomeni,” alisema Bazoka huku akiwaangalia wote wawili.
“Kwa sababu gani?”
“Si unajua nimeambiwa nimtafute bibi kwa ajili ya kumtoa kafara?”
“Ndiyo!”
“Sasa hiyo nyumba inamilikiwa na huyo bibi, halafu ndani tupo wawili tu,” alisema Bazoka na kuanza kucheka.
“Aisee safi sana, yaani hapo kazi inakuwa rahisi mno!” alisema Sultani.
“Kaka hii kazi si rahisi kama inavyoonekana!”
“Kwa sababu gani?”
“Huyo bibi mchawi sijapata kuona!”
“Bibi mchawi?”
“Ndiyo! Kwanza niliambiwa mtaani!”
“Sasa si unajua stori za mitaani Bazoka...”
“Halafu usiku nikapelekwa shamba kulima!” aliwaambia.
“Ulipelekwa shamba kulima?” aliuliza Bonge huku akishangaa, mshangao wake ukakatishwa na kicheko kikubwa kutoka kwake.
“Hahahaha...”
“Ebwana kwanza uchawi upo,” alisema Bazoka!”
“Ilikuwaje?”
“Yaani sijui! Mi’ niliamka asubuhi, nikajikuta nimechafuka kishenzi, miguu ilikuwa na tope, halafu jana usiku kabla ya kulala nilioga,” aliwaambia.
“Pole sana!”
“Sasa huyo bibi anaulika kweli?” aliwauliza.
Wakaangaliana na kuanza kucheka.
“Sasa mbona mnacheka?” aliuliza kwa mshangao.
“Bazoka! Hizo nguvu zako ni hatari sana, yaani una nguvu huyo bibi haoni ndani, kumbuka ulikwenda kuzimu, sehemu ambayo kila mchawi anapenda sana kwenda,” alisema Sultani.
“Kwa maana hiyo nguvu zangu ni kubwa mno?” aliuliza Bazoka huku akionekana kushangaa.
“Ndiyo!”
“Sasa mbona ilikuwa kirahisi sana kupelekwa shambani kulima mpaka mgongo unauma?” aliuliza.
“Kwa sababu hukuamua kujilinda!”
“Lakini si umesema nina nguvu tayari?”
“Kwani ukishika bunduki halafu mtu akitaka kukuua, hawezi kukuua?”
“Anaweza!”
“Kwa nini akuue na wakati una bunduki mkononi?”
“Kwa sababu sikuitumia!”
“Basi hilo ndilo jibu lake.”
Bazoka akakaa kimya kwanza, maneno aliyoambiwa yalikuwa na maana kubwa, ni kweli alikuwa na silaha lakini hakutaka kuitumia na ndiyo maana ilikuwa ni rahisi sana kwa Bi. Semeni kumfanya kama alivyotaka kufanya.
Hilo lilimuumiza mno lakini pia akaona hata kama alikuwa na silaha huo haukuwa muda muafaka wa kuhama, ilikuwa ni lazima kuhakikisha anafanya kila liwezekanalo kuhakikisha anamnaliza mwanamke huyo.
Akauliza namna ya kutumia hizo nguvu, akaambiwa kabla ya kulala ilikuwa ni lazima kutamka maneno mawili, Mulfadhir Bilaal na kisha kulala.
Aliambiwa maneno hayo yalikuwa na nguvu kubwa, kila alipokuwa akiyatamka na kulala kulikuwa na nguvu kutoka kuzimu ambazo zilikwenda moja kwa moja mpaka chumbani kwake na kumlinda.
Kulikuwa na majini yaliyokuwa na nguvu kubwa ambayo yalikuwa na kazi kubwa kuhakikisha watumishi wao wanakuwa salama kabisa, hivyo endapo angeyatamka maneno hayo na kuidhinishwa kwamba aliwahi kufika kuzimu na kupewa nguvu, basi moja kwa moja angekuwa na ulinzi tosha ambapo kusingekuwa na mchawi yeyote yule ambaye angembabaisha kwa lolote lile.
“Kumbeeeee...”
“Fanya hivyo!”
Bazoka alikuwa na akili nyingi, hakutaka kuona akimmaliza mwanamke huyo haraka kwa sababu watu wangejua kwamba ni yeye ndiye aliyefanya hivyo kitu ambacho hakutaka kijulikane kabisa.
Siku hiyo aliendelea na biashara zake kama kawaida lakini hakurudi nyumbani kwake wala kuwasiliana na mkewe, alikaa kwa saa kadhaa akampigia simu Frank na kumwambia alitaka kuonana naye
Kwa kuwa tayari walikuwa marafiki, hapakuwa na tatizo, wakaonana maeneo ya Kinondoni, wakawa wanakula huku wakizungumza mambo mbalimbali. Alimuuliza kuhusu mkewe, Sarah, alikuwa akiendelea vizuri na matibabu hospitalini, hali yake ilitengemaa.
“Ebwana Frank sasa nimeamini yule mwanamke mwanga,” alisema Bazoka, Frank kusikia hivyo, akajiweka vizuri kusikiliza alichotaka kuambiwa.
“Ilikuwaje?”
“Kaniwangia usiku, nimeamka viungo inauma mno, halafu miguu michafu kichizi,” alijibu Bazoka huku akianza kutabasamu.
“Acha masihara!”
“Kweli tena! Yaani mimi pale nahama,” alimwambia.
“Ila nilikwambia kaka, ukabisha, umeona sasa?”
“Aisee kweli! Pale nahama, mi sijazoea kukaa nyumba za wachawi kama ile,” alisema Bazoka, alifanya hivyo kwa malengo yake maalumu.
Alizungumza na Frank na baada ya kumaliza kuondoka kurudi nyumbani. Njiani walikuwa wakizungumza mambo mengi, alichomwambia ni kwamba Bi. Semeni hakutakiwa kujua kama alikuwa na usafiri kwani alihisi mambo yangekuwa mabaya zaidi, hivyo aliliweka gari lile sehemu ya kupaki na wao kuanza kutembea kuelekea nyumbani.
Alipofika, Bi. Semeni hakumkuta lakini alikuta milango ikiwa wazi kabisa. Bi. Semeni hakuwa na kawaida ya kufunga milango ya nyumba yake, alikuwa akiiacha wazi na hapakuwa na mwizi yeyote aliyekuwa akisogea kwa sababu kilichotokea mwaka 2016 kilikuwa balaa.
Mwanaka huo wakati vijana wengi wakiwa hawajui kama mwanamke huyo alikuwa nguli kwenye mambo ya uchawi, aliacha milango wazi na kutoka, vijana wawili waliokuwa na tamaa wakaingia na kuiba walipotoka, wakiwa nje, wakasimama huku wakiwa na vitu walivyoiba mikononi mwao.
Walikuwa wakipiga kelele za maumivu makali, wapita njia walikuwa wakiwashangaa, hawakujua kilichokuwa kikiendelea, walisimama tu, hawakupiga hata hatua, yaani miguu yao ni kama iliwekewa gundi, hata kusogeza walishindwa.
Walikuwa wakijisema tu kwamba walikuwa wezi, waliingia ndani ya nyumba hiyo kwa lengo la kuiba lakini walishindwa kutoka. Umati mkubwa wa watu ulikusanyika na kuwaangalia watu hao, hawakutoka mpaka Bi. Semeni aliporudi nyumbani kwake, aliwaangalia, hakutaka kuzungumza kitu chochote kile, akaingia ndani kwake, akatoka na unyoya wa kuku na unga mweusi, akawapulizia na unyoya ule kuwachapa nao, hapohapo wakatoka, wakapiga hatua na kuanza kuomba msamaha.
Kuanzia siku hiyo hapakuwa na mwizi aliyethubutu kuingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, kuliogopwa zaidi ya ikulu, kulikuwa na ulinzni mkubwa kuliko sehemu yoyote mtaani hapo, ulinzi ambao haukuonekana kwa macho.
Baada ya kuingia, moja kwa moja Bazoka akaelekea mpaka uani, alipofika huko akaanza kuangalia mazingira ya huko, kulikuwa na ukuta, akaupanda, upande wa pili kulikuwa na kichochoro ambacho aliamini angeweza kupanda ukuta huo na kutumbukia humo ndani.
Alitakiwa kufanya mambo kijasusi sana, kusiwe na mtu yeyote ambaye alitakiwa kugundua kilichokuwa kimetokea, hivyo haraka sana akaelekea chumbani kwake kwani alisikia kama mtu akiwa ameingia ndani ya nyumba hiyo, kabla hajafika chumbani, ukumbini akakutana na Bi. Semeni ambaye naye ndiyo alikuwa amerudi.
“Mama! Kumbe umerudi,” alimwambia huku akimwangalia.
“Ndiyo! Unaendeleaje? Umetoka wapi tena?” alimuuliza huku akimwangalia.
“Nimetoka chooni!”
“Chooni! Cho cha uani? Kivipi na wakati chumbani kwako kuna choo?” aliuliza mwanamke huyo huku akimwangalia kwa mshangao.
“Nilibanwa na haja hata chumbani nilipaona mbali,” alijibu Bazoka huku akijifanya kutabasamu.
“Kweli?”
“Ndiyo!”
“Pole sana jamani!” alisema mwanamke huyo.
Moyoni mwake akaanza kuwa na wasiwasi na Bazoka, aliamini kabisa hakuwa ametoka chooni kwani hata mikono yake haikuwa imelowanishwa kwa maji, alihisi kabisa kulikuwa na kitu kilichokuwa kikiendelea lakini hakujua kilikuwa kitu gani.
Kwa kufanyiwa ubaya aliamini asingeweza kumfanyia, sasa kijana huyo alikuwa na jambo gani lililokuwa likiendelea nyuma ya pazia?
“Nitajua tu!” alijisemea, hakujua kama naye Bazoka alijipanga, alitaka kummaliza mapema sana.
Upande wa pili baada ya Frank kuambiwa na Bazoka kile kilichotokea, haraka sana akaanza kuwaambia watu kuhusu hilo, stori zikaanza kusambaa kwamba Bi. Semeni kama kawaida yake alimroga mpangaji wake na muda huo alifikiria kuhama kama wengine walivyofanya.
Watu walicheka lakini walimshangaa mno Bazoka, kwa maelezo ya Frank ni kwamba alimuonya kabla kwamba mwanamke huyo alikuwa mchawi mkubwa lakini jambo la ajabu kabisa, akawa king’ang’anizi na kwenda kupanga nyumbani hapo.
“Ila jamaa mbishi! Mi nilifikiria ana kinga kumbe mweupe kabisa,” alisema Frank huku kwa mbali akitoa kicheko.
“Kwa hiyo ulimwambia?”
“Yaani zaidi ya mara hamsini, cha ajabu eti akaenda kupanga, jamani jamani sisi binadamu wabishi sana,” alisema Frank, hakujua sababu ya mtu huyo kwenda kupanga ndani ya nyumba hiyo, endapo wangejua, basi kila mtu angemshukuru Mungu kwamba hatimaye mwisho wa Bi. Semeni ulikuwa umewadia.

Je, nini kitaendelea?
 
NYEMO CHILONGANI
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA
SEHEMU YA 14

Bi. Semeni alikuwa mchawi kama wachawi wengine, kila mtu aliyekuwa akihamia mtaani ilikuwa ni lazima kumjaribu kuona alikuwa na nguvu gani, hilo ndilo ambalo alitaka kulifanya hata kwa Bazoka ambaye alihamia nyumbani kwake hapo.
Usiku kabisa akajiandaa kwa ajili ya kwenda kufanya uchawi wake kama kawaida, aliondoka kitandani, nafsi ikaenda kuwanga huku mwili wake ukibaki kitandani hapo, akatokea chumbani kwa Bazoka ambaye alikuwa amelala huku akiwa hana lolote lile.
Bi. Semeni alisimama pembeni huku akiwa na mtupu kama alivyozaliwa, uso wake ulikuwa na masizi, kiunoni alikuwa na shanga kubwa na mkononi mwake alikuwa na tunguli, alimsogelea BAzoka pale kitandani alipokuwa na kuanza kumwangalia.
Hakuwa na kinga yoyote ile, hilo likamfanya Bi. Semeni kuanza kumuwangia huku akionekana kuwa na furaha kabisa, alimchezea alivyotaka, alimchukua na kumpeleka huko kwa wenzake, kila mmoja alimsifu kwani kwa kitendo cha kumpeleka mtu mpya kwenye kundi la wachawi kama alivyokuwa amefanya ilikuwa sifa kubwa mno.
Walicheza ngoma zao, walifurahia na baada ya hapo wakawapeleka shambani ambapo walilima na kurudishwa baadaye kabisa.
Sasa moyo wake ukaridhika, alitaka kujihakikishia kama mtu aliyekwenda kupanga kwake alikuwa na nguvu za namna gani, hakuwa na lolote lile, yaani alikuwa mtupu kabisa.
Asubuhi ilipofika, Bazoka akaamka usingizini, alikuwa amechoka mno, haikuwa kawaida, alihisi kama alitoka kufanya kazi nzito, alikuwa akijiuliza lakini hakuata jibu lolote lile.
Akatoa shuka mwilini mwake, kilichomshangaza, miguu yake ilikuwa michafu mno, hapo hakutaka kujiuliza tena, alijua kilichokuwa kimetokea, yaani alichukuliwa usiku wa manane na kwenda kufanyishwa kazi za shambani, na mtu aliyefanya hivyo hakuwa mwingine bali alikuwa Bi. Semeni.
Hakutaka kujali kwani alijua tu mwanamke huyo hakuwa hata na wiki mbili za kuendelea kuishi, akasimama kutoka kitandani na kwenda kuoga, alipomaliza, akatoka ndani na kuelekea ukumbini ambapo akamkuta Bi. Semeni akiendelea na mambo yake.
“Mama! Shikamoo!” alimsalimia huku uso wake ukiwa na tabasamu pana kana kwamba hapakuwa na lolote lile lililotokea.
“Marahaba mwanangu hujambo!” aliitikia.
“Sijambo tu! Pole na kazi!” alimwambia.
“Nashukuru!”
Wakaanza kuongea kwa dakika kadhaa, kila mmoja alionekana kuwa na furaha kumuona mwenzake asubuhi hiyo, baada ya dakika kadhaa, Bazoka akaondoka na kuelekea kwenye biashara zake.
Hakutaka kuwasiliana na mtu yeyote yule kwa kutumia simu, aliitoa laini yake, akanunua nyingine mpya kwani hakutaka mkewe kumpata kabisa, alichokuwa akikifanya ni kuwasiliana naye kwa kutumia WhatsApp tu, alifanya hivyo kwa kuwa alitaka kumuaminisha alikuwa nchini Uganda.
Akataka kuonana na washikaji zake, Bonge na Sultani, hilo halikuwa tatizo, akawapigia simu na baada ya kukubaliana, wakaonana mahali na kuanza kupata kifungua kinywa pamoja.
“Yaani sijakuelewa...” alisema Bonge.
“Nimepanga chumba maeneo ya Magomeni,” alisema Bazoka huku akiwaangalia wote wawili.
“Kwa sababu gani?”
“Si unajua nimeambiwa nimtafute bibi kwa ajili ya kumtoa kafara?”
“Ndiyo!”
“Sasa hiyo nyumba inamilikiwa na huyo bibi, halafu ndani tupo wawili tu,” alisema Bazoka na kuanza kucheka.
“Aisee safi sana, yaani hapo kazi inakuwa rahisi mno!” alisema Sultani.
“Kaka hii kazi si rahisi kama inavyoonekana!”
“Kwa sababu gani?”
“Huyo bibi mchawi sijapata kuona!”
“Bibi mchawi?”
“Ndiyo! Kwanza niliambiwa mtaani!”
“Sasa si unajua stori za mitaani Bazoka...”
“Halafu usiku nikapelekwa shamba kulima!” aliwaambia.
“Ulipelekwa shamba kulima?” aliuliza Bonge huku akishangaa, mshangao wake ukakatishwa na kicheko kikubwa kutoka kwake.
“Hahahaha...”
“Ebwana kwanza uchawi upo,” alisema Bazoka!”
“Ilikuwaje?”
“Yaani sijui! Mi’ niliamka asubuhi, nikajikuta nimechafuka kishenzi, miguu ilikuwa na tope, halafu jana usiku kabla ya kulala nilioga,” aliwaambia.
“Pole sana!”
“Sasa huyo bibi anaulika kweli?” aliwauliza.
Wakaangaliana na kuanza kucheka.
“Sasa mbona mnacheka?” aliuliza kwa mshangao.
“Bazoka! Hizo nguvu zako ni hatari sana, yaani una nguvu huyo bibi haoni ndani, kumbuka ulikwenda kuzimu, sehemu ambayo kila mchawi anapenda sana kwenda,” alisema Sultani.
“Kwa maana hiyo nguvu zangu ni kubwa mno?” aliuliza Bazoka huku akionekana kushangaa.
“Ndiyo!”
“Sasa mbona ilikuwa kirahisi sana kupelekwa shambani kulima mpaka mgongo unauma?” aliuliza.
“Kwa sababu hukuamua kujilinda!”
“Lakini si umesema nina nguvu tayari?”
“Kwani ukishika bunduki halafu mtu akitaka kukuua, hawezi kukuua?”
“Anaweza!”
“Kwa nini akuue na wakati una bunduki mkononi?”
“Kwa sababu sikuitumia!”
“Basi hilo ndilo jibu lake.”
Bazoka akakaa kimya kwanza, maneno aliyoambiwa yalikuwa na maana kubwa, ni kweli alikuwa na silaha lakini hakutaka kuitumia na ndiyo maana ilikuwa ni rahisi sana kwa Bi. Semeni kumfanya kama alivyotaka kufanya.
Hilo lilimuumiza mno lakini pia akaona hata kama alikuwa na silaha huo haukuwa muda muafaka wa kuhama, ilikuwa ni lazima kuhakikisha anafanya kila liwezekanalo kuhakikisha anamnaliza mwanamke huyo.
Akauliza namna ya kutumia hizo nguvu, akaambiwa kabla ya kulala ilikuwa ni lazima kutamka maneno mawili, Mulfadhir Bilaal na kisha kulala.
Aliambiwa maneno hayo yalikuwa na nguvu kubwa, kila alipokuwa akiyatamka na kulala kulikuwa na nguvu kutoka kuzimu ambazo zilikwenda moja kwa moja mpaka chumbani kwake na kumlinda.
Kulikuwa na majini yaliyokuwa na nguvu kubwa ambayo yalikuwa na kazi kubwa kuhakikisha watumishi wao wanakuwa salama kabisa, hivyo endapo angeyatamka maneno hayo na kuidhinishwa kwamba aliwahi kufika kuzimu na kupewa nguvu, basi moja kwa moja angekuwa na ulinzi tosha ambapo kusingekuwa na mchawi yeyote yule ambaye angembabaisha kwa lolote lile.
“Kumbeeeee...”
“Fanya hivyo!”
Bazoka alikuwa na akili nyingi, hakutaka kuona akimmaliza mwanamke huyo haraka kwa sababu watu wangejua kwamba ni yeye ndiye aliyefanya hivyo kitu ambacho hakutaka kijulikane kabisa.
Siku hiyo aliendelea na biashara zake kama kawaida lakini hakurudi nyumbani kwake wala kuwasiliana na mkewe, alikaa kwa saa kadhaa akampigia simu Frank na kumwambia alitaka kuonana naye
Kwa kuwa tayari walikuwa marafiki, hapakuwa na tatizo, wakaonana maeneo ya Kinondoni, wakawa wanakula huku wakizungumza mambo mbalimbali. Alimuuliza kuhusu mkewe, Sarah, alikuwa akiendelea vizuri na matibabu hospitalini, hali yake ilitengemaa.
“Ebwana Frank sasa nimeamini yule mwanamke mwanga,” alisema Bazoka, Frank kusikia hivyo, akajiweka vizuri kusikiliza alichotaka kuambiwa.
“Ilikuwaje?”
“Kaniwangia usiku, nimeamka viungo inauma mno, halafu miguu michafu kichizi,” alijibu Bazoka huku akianza kutabasamu.
“Acha masihara!”
“Kweli tena! Yaani mimi pale nahama,” alimwambia.
“Ila nilikwambia kaka, ukabisha, umeona sasa?”
“Aisee kweli! Pale nahama, mi sijazoea kukaa nyumba za wachawi kama ile,” alisema Bazoka, alifanya hivyo kwa malengo yake maalumu.
Alizungumza na Frank na baada ya kumaliza kuondoka kurudi nyumbani. Njiani walikuwa wakizungumza mambo mengi, alichomwambia ni kwamba Bi. Semeni hakutakiwa kujua kama alikuwa na usafiri kwani alihisi mambo yangekuwa mabaya zaidi, hivyo aliliweka gari lile sehemu ya kupaki na wao kuanza kutembea kuelekea nyumbani.
Alipofika, Bi. Semeni hakumkuta lakini alikuta milango ikiwa wazi kabisa. Bi. Semeni hakuwa na kawaida ya kufunga milango ya nyumba yake, alikuwa akiiacha wazi na hapakuwa na mwizi yeyote aliyekuwa akisogea kwa sababu kilichotokea mwaka 2016 kilikuwa balaa.
Mwanaka huo wakati vijana wengi wakiwa hawajui kama mwanamke huyo alikuwa nguli kwenye mambo ya uchawi, aliacha milango wazi na kutoka, vijana wawili waliokuwa na tamaa wakaingia na kuiba walipotoka, wakiwa nje, wakasimama huku wakiwa na vitu walivyoiba mikononi mwao.
Walikuwa wakipiga kelele za maumivu makali, wapita njia walikuwa wakiwashangaa, hawakujua kilichokuwa kikiendelea, walisimama tu, hawakupiga hata hatua, yaani miguu yao ni kama iliwekewa gundi, hata kusogeza walishindwa.
Walikuwa wakijisema tu kwamba walikuwa wezi, waliingia ndani ya nyumba hiyo kwa lengo la kuiba lakini walishindwa kutoka. Umati mkubwa wa watu ulikusanyika na kuwaangalia watu hao, hawakutoka mpaka Bi. Semeni aliporudi nyumbani kwake, aliwaangalia, hakutaka kuzungumza kitu chochote kile, akaingia ndani kwake, akatoka na unyoya wa kuku na unga mweusi, akawapulizia na unyoya ule kuwachapa nao, hapohapo wakatoka, wakapiga hatua na kuanza kuomba msamaha.
Kuanzia siku hiyo hapakuwa na mwizi aliyethubutu kuingia ndani ya eneo la nyumba hiyo, kuliogopwa zaidi ya ikulu, kulikuwa na ulinzni mkubwa kuliko sehemu yoyote mtaani hapo, ulinzi ambao haukuonekana kwa macho.
Baada ya kuingia, moja kwa moja Bazoka akaelekea mpaka uani, alipofika huko akaanza kuangalia mazingira ya huko, kulikuwa na ukuta, akaupanda, upande wa pili kulikuwa na kichochoro ambacho aliamini angeweza kupanda ukuta huo na kutumbukia humo ndani.
Alitakiwa kufanya mambo kijasusi sana, kusiwe na mtu yeyote ambaye alitakiwa kugundua kilichokuwa kimetokea, hivyo haraka sana akaelekea chumbani kwake kwani alisikia kama mtu akiwa ameingia ndani ya nyumba hiyo, kabla hajafika chumbani, ukumbini akakutana na Bi. Semeni ambaye naye ndiyo alikuwa amerudi.
“Mama! Kumbe umerudi,” alimwambia huku akimwangalia.
“Ndiyo! Unaendeleaje? Umetoka wapi tena?” alimuuliza huku akimwangalia.
“Nimetoka chooni!”
“Chooni! Cho cha uani? Kivipi na wakati chumbani kwako kuna choo?” aliuliza mwanamke huyo huku akimwangalia kwa mshangao.
“Nilibanwa na haja hata chumbani nilipaona mbali,” alijibu Bazoka huku akijifanya kutabasamu.
“Kweli?”
“Ndiyo!”
“Pole sana jamani!” alisema mwanamke huyo.
Moyoni mwake akaanza kuwa na wasiwasi na Bazoka, aliamini kabisa hakuwa ametoka chooni kwani hata mikono yake haikuwa imelowanishwa kwa maji, alihisi kabisa kulikuwa na kitu kilichokuwa kikiendelea lakini hakujua kilikuwa kitu gani.
Kwa kufanyiwa ubaya aliamini asingeweza kumfanyia, sasa kijana huyo alikuwa na jambo gani lililokuwa likiendelea nyuma ya pazia?
“Nitajua tu!” alijisemea, hakujua kama naye Bazoka alijipanga, alitaka kummaliza mapema sana.
Upande wa pili baada ya Frank kuambiwa na Bazoka kile kilichotokea, haraka sana akaanza kuwaambia watu kuhusu hilo, stori zikaanza kusambaa kwamba Bi. Semeni kama kawaida yake alimroga mpangaji wake na muda huo alifikiria kuhama kama wengine walivyofanya.
Watu walicheka lakini walimshangaa mno Bazoka, kwa maelezo ya Frank ni kwamba alimuonya kabla kwamba mwanamke huyo alikuwa mchawi mkubwa lakini jambo la ajabu kabisa, akawa king’ang’anizi na kwenda kupanga nyumbani hapo.
“Ila jamaa mbishi! Mi nilifikiria ana kinga kumbe mweupe kabisa,” alisema Frank huku kwa mbali akitoa kicheko.
“Kwa hiyo ulimwambia?”
“Yaani zaidi ya mara hamsini, cha ajabu eti akaenda kupanga, jamani jamani sisi binadamu wabishi sana,” alisema Frank, hakujua sababu ya mtu huyo kwenda kupanga ndani ya nyumba hiyo, endapo wangejua, basi kila mtu angemshukuru Mungu kwamba hatimaye mwisho wa Bi. Semeni ulikuwa umewadia.

Je, nini kitaendelea?
Pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom