Hadithi: Malaika wa shetani

Ni story ndefu amba aliitolea kitabu. Chanzo kikuu ni siasa.
Nimekumbuka.
2012 pale mwanza nilienda kununua vitabu,nikanunua nyuma ya mapazia.
Then muuzaji akanambia kuna vitabu vingine vya Mtobwa.Akanionesha "Mwalimu mwenye mguu wa bandia' na hicho ulichonambia.
Sikua na hela ya kutosha so nikakiacha,sikujua kama kilibase kwenye true story,ningenunua.
 
Ni story ndefu amba aliitolea kitabu. Chanzo kikuu ni siasa.
Nimekumbuka.
2012 pale mwanza nilienda kununua vitabu,nikanunua nyuma ya mapazia.
Then muuzaji akanambia kuna vitabu vingine vya Mtobwa.Akanionesha "Mwalimu mwenye mguu wa bandia' na hicho ulichonambia.
Sikua na hela ya kutosha so nikakiacha,sikujua kama kilibase kwenye true story,ningenunua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…