Siku hizi ni aghalabu sana kupata waandishi mahiri wa vitabu,na hata usomaji vitabu kwa wakati huu umepungua sana,namkumbuka sana mwandishi Ben R Mtobwa,kwenye andishi lake Tutarudi na Roho zetu?hapo hujamgusa bado Elvis A Musiba na Riwaya zake,Njama,Kikosi cha Kisasi,nk