Hadithi: Kizuizi

Hadithi: Kizuizi

Hata mimi namuunga mkono mizambwa, acha tu asiendelee, hata mimi stimu imeshakata kuisoma hii hadithi, kama watu waliijua hii hadithi walikuwa wapi kuileta? Mtu anatuletea simulizi wao wanaingilia kati hata kama ungekuwa ni wewe ungekata tamaa. Watu wanadhani kila mtu ana nafasi ya kuingia google na kugoogle hadithi, umeshajua hadithi inapatikana wapi ingia soma kisha kaa kimya tuache sisi tuendelee hapa JF


Kaka Plz endelea man...
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi namuunga mkono mizambwa, acha tu asiendelee, hata mimi stimu imeshakata kuisoma hii hadithi, kama watu waliijua hii hadithi walikuwa wapi kuileta? Mtu anatuletea simulizi wao wanaingilia kati hata kama ungekuwa ni wewe ungekata tamaa. Watu wanadhani kila mtu ana nafasi ya kuingia google na kugoogle hadithi, umeshajua hadithi inapatikana wapi ingia soma kisha kaa kimya tuache sisi tuendelee hapa JF

Kweli watu wana viherehere sijapata ona. Me nimeumia sana. Bas wao wazilete kama wameona mizambwa anafaid.
Inavunja moyo sana.
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa;

Endeleeni. Stimu imeshapotea.

Kaka una haki ya kufa moyo, lakini jua kuwa you took yo time kufind hii hadithi then ukaileta hapa jf, hilo litabaki kuwa hivyo hata kama hawa jamaa wataleta hilo baraza la kiswahili lote hapa,
Waweza jua vitu vingi but you dont dare to share kwa wenzio, but you did and if my memory sevs me well hujasema kuwa umeitunga wew, so be happy kuwa umecontribute something markable hapa kwa jf, bigup kaka mizambwa
Trust me!
 
Ayaaaaaaah stiim zimekatika!!
Haya mambo ya kudandia kwa mbele mambo yasiokuhusu yana kera sana,akina Jose B wapo wengi.
 
Watu sijui wakoje tu.....hadithi kama waijua si unapita pembeni tu kwani lazima udandie??? Mlikuwa wapi kusimulia kabla yake?? Mnaboa sana"!!!
 
Hata mimi namuunga mkono mizambwa, acha tu asiendelee, hata mimi stimu imeshakata kuisoma hii hadithi, kama watu waliijua hii hadithi walikuwa wapi kuileta? Mtu anatuletea simulizi wao wanaingilia kati hata kama ungekuwa ni wewe ungekata tamaa. Watu wanadhani kila mtu ana nafasi ya kuingia google na kugoogle hadithi, umeshajua hadithi inapatikana wapi ingia soma kisha kaa kimya tuache sisi tuendelee hapa JF

Mfano Mimi binafsi nimeimaliza yote kwenye Google lakini nimenyamaza kimya.
 
Last edited by a moderator:
Daah!,vizuizi huwa hazikosagi kwenye jambo jema.
Kwangu washndwe hao vibaraka wa shetan.
 
  • Thanks
Reactions: ram
Back
Top Bottom