Mommadou Keita
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 230
- 238
- Thread starter
- #21
Ok nitakuwa nafanya hivi japo mwezi mara moja, sasa hivi nina nafasi ya kuandika, wadau nitakuwa nikiwapa kile kitu roho inapenda.
Lengo langu lilikuwa ni kumchokoza MziziMkavu.Fupi lakini tamu.Momma, baba anaitwa Mzizimkavu au Mtimkavu.
Lengo langu lilikuwa ni kumchokoza MziziMkavu.
Napajua kote huko: Ukungulyabambashi, Mbiti, Gasoli, Kanade...et al et al...!!!
Kaka Shaaban Hassan naomba basi unifundishe kutunga, niko tayari kuchukua kozi kwako, lakini weka kazi yako hata moja niione hapa. Nakuahidi nitakuwa mwanafunzi mzuri na mtiifu kwako.Tupa kapuni.kijana hujui kutunga tatizo hunahongea sana pumba .mambutika wezio ndio watakao like huu hupumbavu .kwa msahada hii sio Facebook sawa we kijana akili mgando hunayefosi kazi za watu