joramjason
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 425
- 132
Hadithi nzuri ila kuna kauongo kadogo hapo toka umemuacha kijijini hadi miezi 9 imepita hujui yupo kwa wazazi wako inamaanisha ulikuwa huwasiliani na wazazi wako miezi yote 9? Hebu edit hapo
Kabla hawajauigiza niliundika kwa mara ya kwanza katika Gazeti la Heko mwaka 1992 kwa jina hilihili lakini nilishangaa kuigizwa na akina Warid na Bishanga bila ya ridhaa yangu, haki nyingi zinapotea.mchezo wa kuigiza bishanga na waridi long time kama 99.