Mtoto anamuuliza baba yake;'baba,hivi ni kweli kila hadithi lazima ianze kwa maneno,"hapo zamani za kale......"? Baba mtoto akajibu;hapana mwanangu,hadithi nyingine zinaanza kwa maneno;"Endapo mtanichagua......."
Mtoto anamuuliza baba yake;'baba,hivi ni kweli kila hadithi lazima ianze kwa maneno,"hapo zamani za kale......"? Baba mtoto akajibu;hapana mwanangu,hadithi nyingine zinaanza kwa maneno;"Endapo mtanichagua......."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.