Hadithi: Bruno the Fisherman

Hadithi: Bruno the Fisherman

Kwanza hongera ila pili mkuu ulituita vzr sema sahiv n tofaut na ulivyoanza, mwanzo ilikua ndefu unasoma mpaka unaridhika sahv imekua fupi mno, af zile style za last week unasema unataman kupost lakin uliahid alhamis, alaf alhamic yenyewe uliyoahid ukaipitisha bilabila, jaribu kua kama mwanzo mkuu wakati unatuita tuje tufurah pamoja huku.
 
Ukimaliza yote naenda kunya ikulu tena mchana kweupe then nakamata tausi wa ikulu namchinja mbele ya mkulu
Kumbe uwezo wa kumaliza unao?? Sasa mbona kutesana? Unapost unapojisikia mwenyewe au vile unqjua hakuna namna tutasoma? Sio fair yan una uwezo wa kutuposti hata mbili ila unapost moja unapopotea ni Mungu ajuae
 
Kumbe uwezo wa kumaliza unao?? Sasa mbona kutesana? Unapost unapojisikia mwenyewe au vile unqjua hakuna namna tutasoma? Sio fair yan una uwezo wa kutuposti hata mbili ila unapost moja unapopotea ni Mungu ajuae
Nyemo Chilongani ndio Mtunzi wa hii hadithi so mpaka ashushe vigongo kule whatsapp group ndio mtoa Mada acopy na ku paste hapa!!!
Hakuna miujiza anayeweza kufanya mpaka Mtunzi afanye makeke kwanza.
 
Ningependa jua hakuna hata Griti sinka mmoja aliyekyoti uzi wote akasema 'stori nzuri"?..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom