Fya-fyafya
Member
- May 2, 2019
- 43
- 125
Ratiba ya mkutano wa mgombea Uraisi wa CHADEMA asubiliwa mkutanoni viwanja vya Mashujaa hadi saa kumi na mbili na nusu jioni.
Inasemekana msafara wake toka Rombo umekuwa ukisimamishwa njiani na wananchi.
Inasemekana msafara wake toka Rombo umekuwa ukisimamishwa njiani na wananchi.