Hadi saa 12 na nusu jioni; Mgombea wa Urais wa CHADEMA anasubiriwa kwenye Mkutano Moshi Mjini

CCM wanalegea naona wanapiga magoti sasa na bado.
Wameshalegea wanaosha hadi masufuria ya wananchi yaani!
JamiiForums312469786.jpg
JamiiForums472601843.jpg
 
LEO MOSHI MJINI PALIKUA HAPAFAI NAONA UWANJANI KULIJAA MPAKA MAGARI YAKABADILISHA NJIA.
JAPO WALIONDOA BENDERA ZOTE ZA CHADEMA NA PICHA ZA WAGOMBEA WA CHADEMA LAKINI LEO WAMEGUNDUA PICHA WALA VITAMBAA HAVIPIGI KURA. KURA ZINAPIGWA NA WANANCHI.
MOSHI MJINI LEO CCM WALIKUA WAPOLE SANA.
 
Back
Top Bottom