Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,460
Katika watu nilioamini watadumu milele radio free ni Fredwah. Nimeshtuka kumsikia leo akitangaza Times fm.
Katika w2 nilioamin
watadum milele radio free ni fredwah. Nimeshtuka kumsikia leo
akitangaza timez fm
eeba nae,sasa inakuwaje tena manake yule ndiye kinara wa RFA
sasa kuna yule mkongo zuberi ndiye wanamtumia kwa kila kitu
hawezi kukataa kwa sababu akifukuzwa inabidi arudi kwao kongo
ni katika kutafuta changamoto zaidi.
Katika w2 nilioamin watadum milele radio free ni fredwah. Nimeshtuka kumsikia leo akitangaza timez fm
Katika w2 nilioamin watadum milele radio free ni fredwah. Nimeshtuka kumsikia leo akitangaza timez fm
Katika w2 nilioamin watadum milele radio free ni fredwah. Nimeshtuka kumsikia leo akitangaza timez fm