Hacked: Website ya chuo cha TIIS imedukuliwa

Hacked: Website ya chuo cha TIIS imedukuliwa

ya wapi? ya idara gani ya serkali? ambayo ina tumia domain name go.tz?
ww umeshawahi kuiona website ya Usalama wa Taifa hadharani?? Sijui, huenda ni kweli ni website ya usalama wa taifa wametumia Jina la Training Instituions ku cover jina lao halisi. I personally dont know. Huyo anayesema ni ya usalama wa TAIFA ndio atuthibitishie.
 
mleta uzi ulishawahi ifatilia hii website kabla ya kua attacked
 
ww umeshawahi kuiona website ya Usalama wa Taifa hadharani?? Sijui, huenda ni kweli ni website ya usalama wa taifa wametumia Jina la Training Instituions ku cover jina lao halisi. I personally dont know. Huyo anayesema ni ya usalama wa TAIFA ndio atuthibitishie.
sijawai kuona kama wana website... na website watangaze nini kwa umma?
 
TISS wanatenda kwa hard copy ...hiyo mitandao waachie wadaku
 
THREAD IMEFUTWA.

SABABU:..Niliitoa post kwenye mitandao ya jamii ambako wamekosea kuweka kirefu cha T.I.IS, kirefu cha TIIS ni Training Institution Information System kimechanganywa na kile cha TISS Tanzania Intelligence And Security ( usalama wa taifa) Thread ilibidi ilenge kuwa Training Institution Information System ndio muhusika, kwa bahati mbaya hakuna option ya ku edit kichwa cha habari. Site iliyokumbwa na hili janga ni hii www.tiis.go.tz

Kumradhi
ULILETA HII HABARI
Aisee hawa hackers sio wa mchezo mchezo, Katika pitapita zangu za mitandaoni nimekuta kwamba website ya usalama wa taifa imepigwa chini na hackers ambao wameweka ujumbe wa kutaka ajira, Ni wapi tunakwenda
 
Asee hawa mahacker ni vichwa smart sana,
juzi nimesoma step by step namna ya kuhack kwenye computer ya mtu ama laptop na kuigeuza kuwa listen device,
yaani computer yako inakuwa hacked,ndani ya computer kuna mic inakuwa turned on kila unaloongea kama computer inakurecord na kutuma sauti kwenye link ambayo jamaa popote walipo hapa duniani wanaweza kuacccess,
na hata wakitaka picha yako wanaiswitch on ile camera ya mbele ya laptop inakuchukua picha ama video,

na kinachotakiwa ni email tu ya mlengwa,ambapo litatumwa file ukifungua tu tayari umenasa
 
Ni security bugs zinazohitaji patches, sometimes hata huhitaji kudetermine usmart wa mtu kupia viwebsite vya bongo.
nakupa mfano mmoja
Website ya TASAF imedukuliwa toka tarehe 21 November mpaka now, na admin nahisi hana hata taarifa, pitia hapa TASAF hAcKeD
upload_2017-12-3_15-7-12.png


Na pia Mnamo tarehe 30 October website ya vyuo vikuu TCU ilidukuliwa pamoja na sub domain ya faas.tcu.go.tz na pms.tcu.go.tz now zipo fixed.
hapo unapata picha kuwa security zetu zipo very low.
BTW
Siungi mkono hoja ya kuomba ajira kupitia cyber defacing, kids must understand well the effects of kicking domains, na hakuna hats wanaojielewa duniani ambao wataunga mkono jambo lililofanyika kwenye hiyo site ya TISS, kwasababu maelezo yaliyotolewa na defacer ukitumia akili timamu utagundua kuwa ana akili za kitoto.
Asee hawa mahacker ni vichwa smart sana,
juzi nimesoma step by step namna ya kuhack kwenye computer ya mtu ama laptop na kuigeuza kuwa listen device,
yaani computer yako inakuwa hacked,ndani ya computer kuna mic inakuwa turned on kila unaloongea kama computer inakurecord na kutuma sauti kwenye link ambayo jamaa popote walipo hapa duniani wanaweza kuacccess,
na hata wakitaka picha yako wanaiswitch on ile camera ya mbele ya laptop inakuchukua picha ama video,

na kinachotakiwa ni email tu ya mlengwa,ambapo litatumwa file ukifungua tu tayari umenasa
 

Attachments

  • upload_2017-12-3_14-53-1.png
    upload_2017-12-3_14-53-1.png
    10.5 KB · Views: 53
Hacker unaomba kazi!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] waache utani hao jamaa, hii ni 2017 wanahitaji kwenda beyond Cross site scripting
 
hahahaah nadhani wanazo stress za mikopo heslb huko . kama wanaweza wakahack na heslb huko tuwaone kama wapo vizuri
 
Asee hawa mahacker ni vichwa smart sana,
juzi nimesoma step by step namna ya kuhack kwenye computer ya mtu ama laptop na kuigeuza kuwa listen device,
yaani computer yako inakuwa hacked,ndani ya computer kuna mic inakuwa turned on kila unaloongea kama computer inakurecord na kutuma sauti kwenye link ambayo jamaa popote walipo hapa duniani wanaweza kuacccess,
na hata wakitaka picha yako wanaiswitch on ile camera ya mbele ya laptop inakuchukua picha ama video,

na kinachotakiwa ni email tu ya mlengwa,ambapo litatumwa file ukifungua tu tayari umenasa


Bro by default that's integrated on your Chrome browser | Google voice search. So kumsikiza mtu kwa mic ya PC au simu yake it's not hacking, ni programming tu ya kawaida
 
Ni hacking coz anaingilia PC yako bila ww kujua.. kwa kutumia open ports tena sio kusliliza sauti tu anaweza fanya kitu yoyote ile kwenye pc yako bila ww kujuwa
 
Asee hawa mahacker ni vichwa smart sana,
juzi nimesoma step by step namna ya kuhack kwenye computer ya mtu ama laptop na kuigeuza kuwa listen device,
yaani computer yako inakuwa hacked,ndani ya computer kuna mic inakuwa turned on kila unaloongea kama computer inakurecord na kutuma sauti kwenye link ambayo jamaa popote walipo hapa duniani wanaweza kuacccess,
na hata wakitaka picha yako wanaiswitch on ile camera ya mbele ya laptop inakuchukua picha ama video,

na kinachotakiwa ni email tu ya mlengwa,ambapo litatumwa file ukifungua tu tayari umenasa
Aisee
 
Back
Top Bottom