Habinder Sethi aomba msamaha na kukiri makosa yanayomkabiri ya Uhujumu Uchumi

Kwa kuwa sio wa kanda ya kaskazini, wasamehewe tu lakini waturudishie ilobaki baada ya kugawa
 
hahahaha chadema hoi tena.

Tuliwaonya Magufuli ni chaguo la Mungu hamkusikia nyie majizi chadema .Ona sasa mmeanza kutubu.
 
Majambazi woote nao wakiri ili waachiliwe wakaunge mkono juhudi. This is a clear obstruction of justice.
 
Singasinga atageuka shahidi wa serikali.
Ingefaa time ya maadili ichukue mafaili ya toba kwa DPP ichunguze na kujiridhisha Kama hapakuwa na ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma, hauwezi kupiga dili peke yako lazima wapo waliowezesha
 
Katubu!! Kweli hakuna jiwe litalosalia juu ya jiwe labda yule mmakonde ambae anasema hawezi kuchenji buku kwaajili ya njaa ya mtoto

Hapa kazi tu, na ni kazi haswaaaa! Wale wote waliochukua hela kwa masandarusi kutoka H. Seith na nyingine kuchakachuliwa na kupelekwa nchi za nje, nyingine kujenga mijumba Oysterbay, Regent Estate, etc watazirudisha penda wasipende! (Magufuli)Nyerere II na (Majaliwa)Edward Moringe Sokoine II wapo kazini! Kama Prof Tiba karudisha lazima na wengine wazirudishe!!!!
 
Hapa kazi tu, na ni kazi haswaaaa! Wale wote waliochukua hela kwa masandarusi kutoka H. Seith na nyingine kuchakachuliwa na kupelekwa nchi za nje, nyingine kujenga mijumba Oysterbay, Regent Estate, etc watazirudisha penda wasipende! (Magufuli)Nyerere II na (Majaliwa)Edward Moringe Sokoine II wapo kazini! Kama Prof Tiba karudisha lazima na wengine wazirudishe!!!!
Kuna mwingine huwa anakikopesha chama chake na kumlipa kwa riba sikuhizi anaonekana kwa machale naona anaogopa kutajwa
 
Ingefaa time ya maadili ichukue mafaili ya toba kwa DPP ichunguze na kujiridhisha Kama hapakuwa na ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma, hauwezi kupiga dili peke yako lazima wapo waliowezesha
Ni wazi nguvu au jeuri ya IPTL ilitokana na mkono wenye mamlaka ndani ya serikali.
Hadi katibu mkuu wa Nishati enzi hizo akilalamika anakataa hongo,lakini walihongwa hawakufuatilia madai walimcheka Katibu mkuu huyo Rutabanzibwa.
Yawezeka pia Wakuu waliolambishwa asali ya IPTL ni wengi mno ndio maana bei ya umeme uliokuwa unazalishwa na IPTL ukawa bei kubwa mno hadi TANESCO mlipaji akafirizika.
Serikali imeingia madeni makubwa na hasara kubwa.na sisi wananchi tukashindwa gharama za kutumia umeme tukarudi kwenye mkaa.
Hii kesi ya IPTL haina tofauti naTREASON ni kitanzi,nashangaa eti wameanza kuomba msamaha.
Piga hesabu ya ruzuku ambayo kila mwezi serikali iliilipa IPTL kwa miaka kibao,ndio pesa inayotakiwa kurejeswa ni matrilioni ya shilingi,ni ESROW mara maelfu.
Kama huu uhalifu ungefanyika nchi nyingine kama China ni risasi tu.
 
Ingelikuwa ni vyema hao waliotuhumiwa, masharti ya kukiri iwe ni pamoja na kuchoma ramani nzima ya vita...

Waeleze ni namna gani walikuwa wakihujumu uchumi, na wamekuwa wakishirikiana na kina nani...
This is brilliant idea, ndo uwa wanafanya wenzetu W nchi zilizoendelea, uanaweka ramani nzima mezani hili siku za usoni wasijirudiye tena.
 
Hivi nini kilimrudisha bongo?
Tamaa tu, tamaa ya kuja kuwezesha dili la IPTL liendelee.
Serikali iliweka uzito kuingia mkataba wa kuendelea kupata huduma za IPTL, Singasinga kitambi akaona hilo suala dogo kwake ngoja aje mwenyewe afanye lobbying (figisu figisu za kutembeza bahasha zenye mpunga kwenye korido za GoT).
 
Ile mitambo ilizimwa JK alipotoka na mgao hakuna
JK ndiye aliyeleta mradi wa Kinyerezi I, II, III, IV na kuvuta bomba la gas toka Mtwara ile mitambo mipya Kinyerezi ndiyo iliyomaliza mgao. Kumbuka hilo.
 
Inawezekana katika hili magufuri anajimaliza mwenyewe...ameongeza maadui zaidi uraiani uchanguxi 2020 utakua moto sana.
"Kweli"kabisa njia Nyeupe kwa Act au CDM kushindwa uchaguzi . Hivyo tutarajie ZZK au mwenyekiti wa saccos kuwa Raisi.Maana waliobanwa kama mijusi kwenye milango watawekeza vipato vyao ouvu ktk kumtuoa anaye wabana.
 
Back
Top Bottom