Habari

BINTI77

Member
Joined
Sep 13, 2011
Posts
83
Reaction score
11
Hodi mabibi na mabwana,naombeni mnipokee jamvini kwenu.
 
Binti ni dhahiri ushagundua it is the
Best jamvi....lol.. yaani hapa MMU...

Karibu saana...
 
Hodi mabibi na mabwana,naombeni mnipokee jamvini kwenu.

Karibu mwanakwetu, manake ulivyotoka na huo mchuchumio!! na hiyo pafyumu uliyojipulizia umenunua wapi swahiba?!ina harufu nzuri ile mbaya tofauti na ile niliyokununulia k,koo!!
 
Hodi mabibi na mabwana,naombeni mnipokee jamvini kwenu.

Karibu mwanakwetu, manake ulivyotoka na huo mchuchumio!! na hiyo pafyumu uliyojipulizia umenunua wapi swahiba?!ina harufu nzuri ile mbaya tofauti na ile niliyokununulia k,koo!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…