Habari zenu watanzania

mitazamo ya mbele

New Member
Apr 11, 2012
2
0
Ninayo furaha kujumuika na watanzania wenzangu katika kufanya hii kazi ya kuelimisha jamii,shukrani ziwafikie wana jamii wenzangu kwa yale mnayoyafanya katika jamii forums.
 
karibu sana jisikie upo home!
Mimi ndio naitaga majina humu ndani(attendance) asubuhi na jioni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom