Habari zenu wapendwa

Ungemshitua BE wakati unatuma hii post ili awe wa kwanza kukukaribisha hadharani (nina uhakika faraghani tayari). sasa hapa I am sorry for my friend TF, maana jamaa akikurupuka huko panaweza pakawa hapatoshi hapa.

Acha uchokozi wewe
 
Nashukuru kwa maombi yenu nimerudi salama salimini.

Valentine ikanikutia huko hata sijaifaidi na laazizi wangu lakini yote heri tu bora uzima.

Mnaendeleaje?? MMU

Hamwezi amini vile nilivyowamiss.

Haya IDD njema wapenzi wangu.

DA

Karibu sana kajukuu kangu kazuri (ka-cute). Babu kaku-miss sana. Naamini hujasahau ile dawa yake ya mugongo!

Babu DC!
 
Ungemshitua BE wakati unatuma hii post ili awe wa kwanza kukukaribisha hadharani (nina uhakika faraghani tayari). sasa hapa I am sorry for my friend TF, maana jamaa akikurupuka huko panaweza pakawa hapatoshi hapa.
FP we muache achelewe watu watajenga kibanda
 
Kaenda wapi jamani dear wangu tangu jana nampigia simu haipatikani email hajibu

ndo vinaanzaga hivyo hivyo........................
safari hatua lakini, usikute baada ya kuaga kuna waliokuwa wanasubiria tu utoke wakafanya kazi yao.
be nice to TF, si alikuwa mshindi wa pili?
 
Back
Top Bottom