Nashukuru kwa maombi yenu nimerudi salama salimini.
Valentine ikanikutia huko hata sijaifaidi na laazizi wangu lakini yote heri tu bora uzima.
Mnaendeleaje?? MMU
Hamwezi amini vile nilivyowamiss.
Haya IDD njema wapenzi wangu.
DA
Acha uchokozi wewe
FP we muache achelewe watu watajenga kibandaUngemshitua BE wakati unatuma hii post ili awe wa kwanza kukukaribisha hadharani (nina uhakika faraghani tayari). sasa hapa I am sorry for my friend TF, maana jamaa akikurupuka huko panaweza pakawa hapatoshi hapa.
BE hayupo kwahiyo i am the one holdin the postion right nowUsijali dear kawaida tu. Namtafuta BE ukimwona mpe salamu zangu
BE hayupo kwahiyo i am the one holdin the postion right now
I am okay Dena yuko speechless hakutegemea l.o.lFine my dear, u?
Nafurahia kuona DA is back again. hapi umekuwa wa kwanza kumpokea kabla ya BE
Karibu sana Dena, tulikumiss
BE hayupo kwahiyo i am the one holdin the postion right now
Tumempumzisha na sisi tuchukue usukaniKaenda wapi jamani dear wangu tangu jana nampigia simu haipatikani email hajibu
Kaenda wapi jamani dear wangu tangu jana nampigia simu haipatikani email hajibu
For the time being akiwa anamtafuta BE awe anajiliwaza na TF kwanza l.o.lhalafu Dena sijui ananitega? sasa mimi BE nitamwona wapi kama yeye mwenyewe hajui alipo!
Nimekushtukia, kama ulikuwa unatafuta info umenoa