Habari za vitisho kwa Madaktari ni za kutunga - Kibonde wa Clouds FM

Status
Not open for further replies.
Katika kipindi chake cha jahazi leo jioni, Ephraim Kibonde amesema habari zinazoandikwa na magazeti ya kwamba kuna watu wamekwenda Afrika Kusini kwa lengo la kumdhuru Dk.Ulimboka na habari za vitisho wanavyopewa viongozi wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) ni habari za kutungwa, na vyombo vya habari vinatakiwa kuthibitisha habari hizo kabla ya kuandika. mfano akasema habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe 10 july 2012 ni habari ya kutungwa.
Naona huyu jamaa anazungumza upuuzi kama wa Stella Manyanya.

Mie huwa nikisikiliza hii Radio basi napata ugumu mkubwa wa kuelewa maana naona ni makele tu so I opted to give up long time and am better than before
 
Ila nachomsifu anaijua JF athubutu kuitaja hewani uishia kutaja other social network kwa majina ila JF uskip nakubaki kulalamikia juu kwa juu....kwamaana hiyo JF nikiboko yake maana kuna siku walikuwa wana interview na mkurugenzi wa TCRA Nkhoma akawa anamng'ang'aniza nihatua gani zinaweza kuchukuliwa kwa mitandao ya kijamii hasa ya hapa nchini...akaambiwa kwanza nivigumu kuwashitaki kwakuwa hakuna sheria yakuzisajili..hivyo nivigumu..hata blogger..domai zao unakuta zipo US,akaishiwa nguvu lakini yeye aliilenga mojakwa moja...JF....nakwasasa tageti zake za ajira nafikiri atakuwa anawazia u PR pale NHC maana anavyosifia hilo shirika la wahindi...kwamba lina mikopo nafuu yanyumba!!kwa mtu wakawaida million 100 ni issue!!Lijamaa linanikera sana!
 
badala ya kujadili hoja mnamjadili mtu. Ni ukweli waandishi wetu wanapenda habari za kusikia, kasema, ali sikika, wafuatilia hata kidogo credibility ya habari, tutakua tunaandika tuu, fulani kasema, fulani kasika Khaa
 
Clouds wana page yao Facebook, Kibonde hana hadhi ya kujadiliwa hapa JF. Peleka huu ushuzi wako Facebook, hujalazimishwa kusikiliza clouds, kuna station kibao za redio za kusikiliza. tusichoshane hapa tuna mambo mengi ya msingi kujadili na siyo Kibonde ambaye jina lake linajieleza.
Nimegundua kuwa washabiki wa Clouds na jahazi kwa ujumla ni wengi sana ndio maana hakuna anachosema kikaacha kuanzishiwa uzi hapa....
 
Clouds ipo siku watajifunza nini maana ya broadcasting ethics,porojo zinavuka mipaka na kuwa propaganda za kisiasa na wanajiona sahihi kwavile wapo upande wa watawala.Watajifunza tu penda wasipende.
 
Katika kipindi chake cha jahazi leo jioni, Ephraim Kibonde amesema habari zinazoandikwa na magazeti ya kwamba kuna watu wamekwenda Afrika Kusini kwa lengo la kumdhuru Dk.Ulimboka na habari za vitisho wanavyopewa viongozi wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) ni habari za kutungwa, na vyombo vya habari vinatakiwa kuthibitisha habari hizo kabla ya kuandika. mfano akasema habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe 10 july 2012 ni habari ya kutungwa.
Naona huyu jamaa anazungumza upuuzi kama wa Stella Manyanya.

No disrespect to anyone..ila huwezi kutegemea zaidi ya hilo kwa mtu aliyekuwa anachezea F kwenye hesabu shule. Mara nyingi sana uwezo wa kupembua mambo huenda sambamba na uwezo wa kufumbua mafumbo ya hesabu..
 
Jamani msimlaumu sana Kibonde. tatizo ana njaa kali sana na asipojikomba kwa wakubwa atakula wapi??!!!!
Huoni watu wenye akili kama Masood Kipanya aliamua kuondoka Clouds?!!
Huo mredio wenyewe unaelekea kubaya maana siku hizi wasikilizaji wake ni wachache sana tena waliozoea kusikikia majungu na ukuwadi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom