Lyandembela1
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 277
- 112
Heshima mbele wakuu,
Mdau Mtambuzi akiwa safarini Rwanda na Congo (DRC) alituletea yaliyojili huko.
Sasa ninaona kile alichotueleza ndicho kilichomo katika gazeti la Raia Mwema,Toleo la 317 la tarehe Septemba 25,2013 Mwandishi akiwa Shabani Kaluse.
Safari yangu mjini Goma, utanashati kipaumbele kwa vijana - See more at: Raia Mwema - Safari yangu mjini Goma, utanashati kipaumbele kwa vijana
Ni yeye Mtambuzi au huyu shabani Kaluse ni mtu mwingine.
Lyandembela 1 nawasilisha
Mdau Mtambuzi akiwa safarini Rwanda na Congo (DRC) alituletea yaliyojili huko.
Sasa ninaona kile alichotueleza ndicho kilichomo katika gazeti la Raia Mwema,Toleo la 317 la tarehe Septemba 25,2013 Mwandishi akiwa Shabani Kaluse.
Safari yangu mjini Goma, utanashati kipaumbele kwa vijana - See more at: Raia Mwema - Safari yangu mjini Goma, utanashati kipaumbele kwa vijana
Ni yeye Mtambuzi au huyu shabani Kaluse ni mtu mwingine.
Lyandembela 1 nawasilisha
Last edited by a moderator: