Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Huo rumburyo animasha...Acha mwaya usitoe baki nalo hivyohivyo!
Huo rumburyo animasha...Acha mwaya usitoe baki nalo hivyohivyo!
hahahahahahahh, enogesha threadHuo rumburyo animasha...
Mm siyo musukuma tena,nimekana kuanzia leo.Wasukuma njooni mtuhabarishe.
Mkuu....hhahaah Ushimen hebu tupia kapicha kake tuone hahahahahah

Naskia eti hilo ndio habari ya mujini.....Acha mwaya usitoe baki nalo hivyohivyo!

hahahahahahahahahahahahahahah jamani tehe teheMkuu....
Nimekutumia tayari kule pm....![]()
![]()
Hivi kwa nini tunamfundisha Mungu kazi? Yeye katupatia mikono ya sweta, sisi tunaitoa...
Usiniambie na wewe haujatoaHivi kwa nini tunamfundisha Mungu kazi? Yeye katupatia mikono ya sweta, sisi tunaitoa...
Wasukuma njooni mtuhabarishe.
Ww ni wa wilayani au kijijiniHiyo ni habari ya mji gani? embu nyie wavulana wa mikoani amkeni usingizini
Ww ni wa wilayani au kijijini[/QUO
Kumbe unaweza kuongea na kuandika kiswahili vizuri? karibu mjini
haaahaaaa du mkuu wewe noma aisee kha!Nenda anakotokea trump wa Tanzania /kwa wasukuma unaweza ona hata yeye bado
Uje ufike mikoa ya kusini utajijua hupati dem