Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

kazi ni kumsifia dc wa kinondoni na ccm ndio habari zao
 
TV ya taifa wap wewee acha uboya itv ni ya kiboya sanaaa hbr za meng inawezwa rushwa hata dakika 20 alaf anamsema manji tuu huu si ungese tuu kwa tv kuwa sehem ya mmilik kutoa mipasho yakee!

Endelea kuangalia tv za chama cha kijani.. Hamna anaekukataza
 
Clouds media in general huwa sijapata mda wa kupoteza kuwasikiliza.
 
Navyo jua mimi ni mwiko kwa chombo cha,habari kuonesha hisia,zake binafsi..juu ya jambo fulani, nimestaajabu naangalia habari sasa hiv hapa ina onesha wazi kabisa hawajalizishwa au kufurahia uamuz wa EL kuhamia CDM...Hamuoni mnakiuka miiko ya uandishi wa habari?? badiliken co siri mnaboa tambueni kwamba watazamaji wenu wana interest tofaut tofaut hivyo c vyema ku base upande wenu...kutokana na interest zenu binafsi.. jukumu lenu ni kutoa habar co kuwa lazimisha watu kuamini mnavyotaka nyie.... ndoroboo nyie

Tambueni Clouds Tv Ni Chombo Cha Mtu Binafsi Sio Kama Tbc Na Ndomana Hata Mengi Wkt Akiwashutumu Mafisadi Papa Alijinadi Kwenye Media Yake....
 
Watangazaji wa clouds watakua wanapewa maelekezo maalum na menejimenti si bure.
 
Navyo jua mimi ni mwiko kwa chombo cha,habari kuonesha hisia,zake binafsi..juu ya jambo fulani, nimestaajabu naangalia habari sasa hiv hapa ina onesha wazi kabisa hawajalizishwa au kufurahia uamuz wa EL kuhamia CDM...Hamuoni mnakiuka miiko ya uandishi wa habari?? badiliken co siri mnaboa tambueni kwamba watazamaji wenu wana interest tofaut tofaut hivyo c vyema ku base upande wenu...kutokana na interest zenu binafsi.. jukumu lenu ni kutoa habar co kuwa lazimisha watu kuamini mnavyotaka nyie.... ndoroboo nyie

Hivi Hao kunguni bado wapo katika ulingo wa habari?
 
Mungu aisaidie itv muda huu wanaonesha marudio wanatukumbusha ilivyokua jamani mby hatukua na umeme japo tuliangalia kwa umeme wa jenereta
 
Back
Top Bottom