Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

Clouds ni ccm damu hata afra ya wasanii aliaandaa Ruge mbona hiyo inajulikana kipinda 360 kimejaa majungu kazi nikuponda vyama vya upinzani
 
Yule mwenye panki kwenye 360 eti kwenda kumsindikiza el ni kukosa kazi yakufanya lkn siku ile pombe alipokuwa anaenda kuchukua hakuongea hayo! G hando alikuwa mstari wa mbele sana wakati el yupo ugambani sasaiv hata haruf yake haisikiki!
 
We Clouds sio ya Muhaya ni ya Mjita _Kusaga sio Ruge,Ruge ni mfanyakazi tu.....
 
Yule mwenye panki kwenye 360 eti kwenda kumsindikiza el ni kukosa kazi yakufanya lkn siku ile pombe alipokuwa anaenda kuchukua hakuongea hayo! G hando alikuwa mstari wa mbele sana wakati el yupo ugambani sasaiv hata haruf yake haisikiki!

Clouds watangazaji wengi ni machoko
 
Nyinyi mlitakaje?hebu tuelezeni kwa mifano ni taarifa ys tarehe gani na ilikuwa inasemaja ambayo wewe unadhani ilionesha upendeleo.
 
Msifuate mkumbo. Toeni hoja. Eleza lini, taarifa gani?, na upendeleo upi. Ili kila mtu aone huo ubaya unaozungumzwa. Acheni kuwa na tabia ya kutaka kila mtu afanye vile unavyotaka wewe kuwa tu ndo itakuwa inakufurahisha wewe na kwamba ikiwa tofauti baasi haifai. Huu ni utawala wa kidemokrasia. Ukiona haikufurahishi zima Tv yako au badili channeli.
 
Huwezi kupata kila kitu vile unavyotaka kwa wakati unaotaka na mahali unapotaka. Lazima ujuwe kuwa kila mtu ana haki ya uishi anavyotaka yeye na kufanya anavyotaka yeye ili mradi havunji sheria za nchi. Fikra zako na hisia zako haziwe kuwa ndo za watu woooteeee.....
 
Itv,chanel ten na azam nawapenda sana habari zao hazina upendeleo
 
Clouds wanaganga njaa tu..Watu washaachana nao kitambo
 
Mimi nafanya kazi clouds media group, kitengo cha habari. Madai yako sio ya kweli kwa sababu waandishi wa clouds wana vyama tofauti.
Wapo wa chadema, cuf, ccm ,na ACT.
Weka akiba ya maneno yako na usitumie vby jukwaa hili kushambulia watu na kulazimisha hisia zako zifanane na wao.
Chadema mkitaka vya bure anzisheni chombo chenu cha habari ili mpate upendeleo mnaotaka na sio kupiga kelele kwenye mali za watu ni Aibuuuuu kubwa sana.

Juzi juzi tu mmeshindwa kurusha LIVE ya mkutano wa mwanza kwa kujifanya wajuaji wa mambo mpaka ITV wakaandika kuwa ubovu wa tatizo sio wao ni wenu.

Katika live mbovu zilizowahi kutokea bongo na ya kwanza kuichafua ITV ni ya mwanza.
Ukiona unaonewa fungua media yako na sio makelele.

Wee acha uzushi! Unajua kazi za mass media au unaongea tu! Kama unaitamani kazi hiyo nenda shule kwanza!
 
Tuliza boli, punguza jazba, mbona ITV ya mengi inawapendelea nyie UKAWA watu hawasemi?? acha u mm na ubinafsi, wana haki ya kuamini wanachoona ni sahihi.

Navyojua mimi ni mwiko kwa chombo cha,habari kuonesha hisia zake binafsi,juu ya jambo fulani.

Nimestaajabu naangalia habari sasa hivi hapa inaonesha wazi kabisa hawajalizishwa au kufurahia uamuzi wa EL kuhamia CDM.

Hamuoni mnakiuka miiko ya uandishi wa habari? badiliken co siri mnaboa tambueni kwamba watazamaji wenu wana interest tofaut tofaut hivyo c vyema ku base upande wenu.

Kutokana na interest zenu binafsi, jukumu lenu ni kutoa habar sio kuwa lazimisha watu kuamini mnavyotaka nyie.
 
Back
Top Bottom