Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

Wa declare tuu kuwa wao kama media house kwenye huu uchaguzi wana support ccm 100% watu wajue hivyo!
 
Mamlaka zinazohusika na monitoring vyombo vya habari zinatakiwa zifanyie kazi vitu kama hivyo.
 
Clouds ipo chini ya kitengo cha propaganda ccm..kuna hisa za ccm 30% so haina maana kukaa mnalalamika..ccm oyee
 
Jamani Ruge si amepewa studio na m.kwere aghalab si ndugu yake Salva Rweyemamu wa ikulu
 
Navyojua mimi ni mwiko kwa chombo cha,habari kuonesha hisia zake binafsi,juu ya jambo fulani.

Nimestaajabu naangalia habari sasa hivi hapa inaonesha wazi kabisa hawajalizishwa au kufurahia uamuzi wa EL kuhamia CDM.

Hamuoni mnakiuka miiko ya uandishi wa habari? badiliken co siri mnaboa tambueni kwamba watazamaji wenu wana interest tofaut tofaut hivyo c vyema ku base upande wenu.

Kutokana na interest zenu binafsi, jukumu lenu ni kutoa habar sio kuwa lazimisha watu kuamini mnavyotaka nyie.

Hivi wewe ulikuwa hujui ? watangazaji wote wa clouds radio na tv wana kadi za ccm na hiyo ni lazima amri toka kwa uongozi ,..na ni maarufuku kushabikia upinzani
 
Hadi wafanyakazi wao ukiangalia timeline zao Facebook wamejaza uharo wa ccm
 
Hivi wewe ulikuwa hujui ? watangazaji wote wa clouds radio na tv wana kadi za ccm na hiyo ni lazima amri toka kwa uongozi ,..na ni maarufuku kushabikia upinzani

Mimi nafanya kazi clouds media group, kitengo cha habari. Madai yako sio ya kweli kwa sababu waandishi wa clouds wana vyama tofauti.
Wapo wa chadema, cuf, ccm ,na ACT.
Weka akiba ya maneno yako na usitumie vby jukwaa hili kushambulia watu na kulazimisha hisia zako zifanane na wao.
Chadema mkitaka vya bure anzisheni chombo chenu cha habari ili mpate upendeleo mnaotaka na sio kupiga kelele kwenye mali za watu ni Aibuuuuu kubwa sana.

Juzi juzi tu mmeshindwa kurusha LIVE ya mkutano wa mwanza kwa kujifanya wajuaji wa mambo mpaka ITV wakaandika kuwa ubovu wa tatizo sio wao ni wenu.

Katika live mbovu zilizowahi kutokea bongo na ya kwanza kuichafua ITV ni ya mwanza.
Ukiona unaonewa fungua media yako na sio makelele.
 
Mimi nafanya kazi clouds media group, kitengo cha habari. Madai yako sio ya kweli kwa sababu waandishi wa clouds wana vyama tofauti.
Wapo wa chadema, cuf, ccm ,na ACT.
Weka akiba ya maneno yako na usitumie vby jukwaa hili kushambulia watu na kulazimisha hisia zako zifanane na wao.
Chadema mkitaka vya bure anzisheni chombo chenu cha habari ili mpate upendeleo mnaotaka na sio kupiga kelele kwenye mali za watu ni Aibuuuuu kubwa sana.

Juzi juzi tu mmeshindwa kurusha LIVE ya mkutano wa mwanza kwa kujifanya wajuaji wa mambo mpaka ITV wakaandika kuwa ubovu wa tatizo sio wao ni wenu.

Katika live mbovu zilizowahi kutokea bongo na ya kwanza kuichafua ITV ni ya mwanza.
Ukiona unaonewa fungua media yako na sio makelele.

Mbona unaandika kwa kuishambulia Chadema sasa wakati mmesema mpo vyama tofauti
 
Back
Top Bottom