crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 846
Habarini za majukumu.
Mimi ni mgeni humu JF naomba ushirikiano wenu na nliomba kuuliza swali kidogo kuhusu JF. Je, JF ni mahala sahihi pa kujadili mambo ya kijamii bila woga maana nliwahi sikia kuwa JF founder wake aliwahi kamatwa na pia JF kunyimwa leseni na TCRA naombeni ufafanuzi kidogo wakubwa zangu humu JF.
Karibuni kwa miongozo yenu kwangu
Mimi ni mgeni humu JF naomba ushirikiano wenu na nliomba kuuliza swali kidogo kuhusu JF. Je, JF ni mahala sahihi pa kujadili mambo ya kijamii bila woga maana nliwahi sikia kuwa JF founder wake aliwahi kamatwa na pia JF kunyimwa leseni na TCRA naombeni ufafanuzi kidogo wakubwa zangu humu JF.
Karibuni kwa miongozo yenu kwangu