Habari! hivi jamani mwenzeni nashindwa kuelewa hivi sisi Watanzania tunaishi katika dunia ipi??????????
Kwani maisha tulionayo, hayana hadhi kabisa na rasilimali tulio nayo, sasa je! tuendelee kubaki kama wajinga,
viongozi wanatufanya sisi hatuna akili na wapumbavu. Sasa kama wewe ni kijana na unahitaj maendeleo ya
kweli unataka tu fanyajeee!
Kwani maisha tulionayo, hayana hadhi kabisa na rasilimali tulio nayo, sasa je! tuendelee kubaki kama wajinga,
viongozi wanatufanya sisi hatuna akili na wapumbavu. Sasa kama wewe ni kijana na unahitaj maendeleo ya
kweli unataka tu fanyajeee!