Salaams kwenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 muislam, nafanya kazi kwa kuajiriwa kipato changu kinaniwezesha kumudu mahitaji yangu kwa ujumla. Namtafuta mchumba mchamungu, anaejihemu na kuheshimu wengine.
Alie tayari ani PM for more information
Asanteni