Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,816
Mazungumzo hayo yamefanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.
Sasa hapo kuna kipi cha kustaajabisha hadi tujadili hapa? Hata mikao nayo ya kujadiliwa? Kama mgeni kachagua kukaa hapo shida iko wapi?Kuna kitu hakiko sawa....! Inakuwaje mgeni anakaa kwenye kiti cha namna hiyo na mwenyeji anapose kwa staili hiyo!? Kuna uwezekano mleta mada anapotosha jambo fulani.
Ugali moto mboga moto kachumbari baridi!ze genge
Habari za jioni mkuu.Mfano wa upotoshaji?
Yaani huyo bimkubwa naye kakubali kuitwa chief yaani hao wanaume waliofanya hiyo kitu akili zao zilikuwepo kwa muda huo kweli eeh😢!Naona wanaume wa kiCCM wameamua kufanya kikao cha dharula baada ya chief Hangaya kuwakejeli na kuwadharau!
Mama anagombea.Ugali moto mboga moto kachumbari baridi!
YEHODAYA:Vipi umeona hasara za kutokua na katiba? Watanganyika wapo chini ya wazenji.Waziri Mkuu ndio kiongozi wa nchi ya Tanganyika kwenye mambo yasiyo ya muungano ambayo mama Samia mara ingine Anayaparamia.
Hapo Mpango mshughulika na mambo ya muungano ana mu brief Kiongozi wa Tanganyika mambo ya kimuungano
Chief maana yake nin.?Yaani huyo bimkubwa naye kakubali kuitwa chief yaani hao wanaume waliofanya hiyo kitu akili zao zilikuwepo kwa muda huo kweli eeh😢!
Watu wa hovyo ndio hushika nchi,this is very clazzy.View attachment 1939045
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango, hii leo Septemba 15,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa. Mazungumzo hayo yamefanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.
Kumbe umeona leo haja ya Tanganyika kujitegemea?Waziri Mkuu ndio kiongozi wa nchi ya Tanganyika kwenye mambo yasiyo ya muungano ambayo mama Samia mara ingine Anayaparamia
Hapo Mpango mshughulika na mambo ya muungano ana mu brief Kiongozi wa Tanganyika mambo ya kimuungano
Hajakuambia picha ni ya leo lakiniKuna kitu hakiko sawa....! Inakuwaje mgeni anakaa kwenye kiti cha namna hiyo na mwenyeji anapose kwa staili hiyo!? Kuna uwezekano mleta mada anapotosha jambo fulani.