Habari picha: Ibada ya Pasaka st. Joseph Dar es salaam

Habari picha: Ibada ya Pasaka st. Joseph Dar es salaam

Ibada imeendeshwa na msaidizi wa paroko wala sii paroko wakati ibada kubwa kama hii ilitakiwa iendeshwe na askofu. anapaswa kujiuliza kulikoni??

Askofu hawezi kuendesha ibada zote, naamini atakua aliongoza ibada ya mkesha na misa ya pili pia. Hii ya kwanza alikua bado kapumzika.
 
Naona akienda pale St Joseph huyu padre ndo uwa anaendesha ibada!!!!
 
Father Tegete [emoji120] View attachment 731397

Habari JF
Nimepokea taarifa hizi kwa Masikitiko na kuumia.
Hali Ya Fr.Tegete Si Njema Anahitaji Maombi na Sala Zetu. Bado Yuko ICU Kwenye Life support Machine Hapo Hindu Mandali.
Tuendelee Kumuombea afya yake izidi kuimarika aweze kuendelea na utume wa kulitangaza neno la Mungu.
 
Back
Top Bottom