sir.mohere
Member
- May 17, 2014
- 17
- 2
BOT ACT 2014 ambayo imetoka mwezi wa pili nmebahatika kuosoma leo ni kwamba kuanzia sasa mabenki yote yanapaswa kutambua hii mitihani ya kutoka TIOB kama NBAA inavotambua CPA hata hivo hyo itakuwa habar njema kwa wafanyakazi wa benk wenye hicho cheti mishahara itapangwa level ya hicho cheti habar za ndani zinadai kuwa kna uwezekano sasa fees ya mitihan hyo kupanda yaan 70000 kwa non banker tofaut na mwanzo 50000 so hicho cheti kwa sasa kimepandishwa hadhi ya hali ya juu