PreGE2025 Habari Leo waondoa taarifa ya Makalla kuwatuhumu CHADEMA kutaka kusambaza Ebola, wasema haikuwasilishwa kwa usahihi

PreGE2025 Habari Leo waondoa taarifa ya Makalla kuwatuhumu CHADEMA kutaka kusambaza Ebola, wasema haikuwasilishwa kwa usahihi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Wakuu,

Hawa walitaka usahihi gani wakati Makalla ametamka hayo loud and clear? Walitaka aelezee nini tena ndio waiweke?

Wameiondoa sababu CHADEMA hawajajibu? Kwahiyo CHADEMA wakikaa kimya inaondoa the fact kwamba Makalla ametamka upuuzi huo?

Pia soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!

Halafu CHADEMA na nyinyi mnafeli, yaani mnataka kufungulia kesi gazeti huku mnamuacha Makalla aliyewapa tuhuma hiyo? Hii inaingia akilini kweli?

Sawa ni gazeti la serikali, mnataka kuona action huko, vipi huyu Makalla? Yeye aende off the hook kwakuwa mmeamua kutarget gazeti?

Mnatukoroga tu!

Baada ya haya yote tunakuja kusema kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini? Yaani bado sijaelewa huo ufafanuzi wametoa mpaka sasa!

View attachment 3281231

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wanafurukuta
 
Kila nikitafakari uwezo wa huyo mwenezi nashindwa kuielewa sisiem, eti wanataka kuingiza virus vya ebola, ni kichaa peke yake ndio anaweza kumwelewa huyu zumbukuku. Hayo madaraka mnayopewa yatumieni kwa akili. Madaraka hayo yasiwalevye. Tumieni hekima na busara mnapotoa kauli zenu. Zaidi naona mnajivua nguo tu na kuonyesha jinsi gani hamjakomaa kisiasa
 
Baada ya kusikia watashtakiwa ndo wameamua kumnawa mjinga Makalla😅😅😅
Hata kama wakiitoa, haiondoi ukweli kwamba waliichapisha na madhara ya uchapishaji huo tayari yameisha fanyika, kuitoa sio kwamba ndio wako off the hook...Nshala na mawakili wa CDM wawapelekee summons tu wakawalipe Chadema pesa ndefu kwa kukosa weledi wakati wanachapisha habari zisizo na uthibitisho...
 
Wakuu,

Hawa walitaka usahihi gani wakati Makalla ametamka hayo loud and clear? Walitaka aelezee nini tena ndio waiweke?

Wameiondoa sababu CHADEMA hawajajibu? Kwahiyo CHADEMA wakikaa kimya inaondoa the fact kwamba Makalla ametamka upuuzi huo?

Pia soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!

Halafu CHADEMA na nyinyi mnafeli, yaani mnataka kufungulia kesi gazeti huku mnamuacha Makalla aliyewapa tuhuma hiyo? Hii inaingia akilini kweli?

Sawa ni gazeti la serikali, mnataka kuona action huko, vipi huyu Makalla? Yeye aende off the hook kwakuwa mmeamua kutarget gazeti?

Mnatukoroga tu!

Baada ya haya yote tunakuja kusema kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini? Yaani bado sijaelewa huo ufafanuzi wametoa mpaka sasa!

View attachment 3281231
View attachment 3281892


Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mabwege haya
 
Washtakiwe kwa kosa gani? Wewe hiyo clip, kwa mara ya kwanza, uliisikia kwao? Huo upuuzi Makala ameuongelea hadharani, kila aliyekuwepo mkutanoni aliona na kusikia!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hujui sheria. Unadhani wameondoa kwa sababu wana busara sana? Ukiwa na chombo cha habari huwezi kuokoteza ''chochote'' na kuandika au kukiweka kwenye chombo chako kwa sababu tu kimesemwa na fulani na kila mtu amesikia. Ukifanya hivyo chombo chako cha habari kitafilisiwa mara moja. Hapa hawa wajinga washukuru sana mahakama zinafanya kazi kwa maelekezo, la sivyo wangekiona cha moto.
 
Wakuu,

Hawa walitaka usahihi gani wakati Makalla ametamka hayo loud and clear? Walitaka aelezee nini tena ndio waiweke?

Wameiondoa sababu CHADEMA hawajajibu? Kwahiyo CHADEMA wakikaa kimya inaondoa the fact kwamba Makalla ametamka upuuzi huo?

Pia soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!

Halafu CHADEMA na nyinyi mnafeli, yaani mnataka kufungulia kesi gazeti huku mnamuacha Makalla aliyewapa tuhuma hiyo? Hii inaingia akilini kweli?

Sawa ni gazeti la serikali, mnataka kuona action huko, vipi huyu Makalla? Yeye aende off the hook kwakuwa mmeamua kutarget gazeti?

Mnatukoroga tu!

Baada ya haya yote tunakuja kusema kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini? Yaani bado sijaelewa huo ufafanuzi wametoa mpaka sasa!

View attachment 3281231
View attachment 3281892


Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ni baada ya kusikia CHADEMA wanataka kwenda mahakamani😂😂😂
 
Wakuu,

Hawa walitaka usahihi gani wakati Makalla ametamka hayo loud and clear? Walitaka aelezee nini tena ndio waiweke?

Wameiondoa sababu CHADEMA hawajajibu? Kwahiyo CHADEMA wakikaa kimya inaondoa the fact kwamba Makalla ametamka upuuzi huo?

Pia soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!

Halafu CHADEMA na nyinyi mnafeli, yaani mnataka kufungulia kesi gazeti huku mnamuacha Makalla aliyewapa tuhuma hiyo? Hii inaingia akilini kweli?

Sawa ni gazeti la serikali, mnataka kuona action huko, vipi huyu Makalla? Yeye aende off the hook kwakuwa mmeamua kutarget gazeti?

Mnatukoroga tu!

Baada ya haya yote tunakuja kusema kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini? Yaani bado sijaelewa huo ufafanuzi wametoa mpaka sasa!

View attachment 3281231
View attachment 3281892


Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kilichofanywa na makalla sio sawa. Kakurupuka, aweke ushahidi au aombe radhi
 
Wakuu,

Hawa walitaka usahihi gani wakati Makalla ametamka hayo loud and clear? Walitaka aelezee nini tena ndio waiweke?

Wameiondoa sababu CHADEMA hawajajibu? Kwahiyo CHADEMA wakikaa kimya inaondoa the fact kwamba Makalla ametamka upuuzi huo?

Pia soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!

Halafu CHADEMA na nyinyi mnafeli, yaani mnataka kufungulia kesi gazeti huku mnamuacha Makalla aliyewapa tuhuma hiyo? Hii inaingia akilini kweli?

Sawa ni gazeti la serikali, mnataka kuona action huko, vipi huyu Makalla? Yeye aende off the hook kwakuwa mmeamua kutarget gazeti?

Mnatukoroga tu!

Baada ya haya yote tunakuja kusema kuna uhuru wa vyombo vya habari nchini? Yaani bado sijaelewa huo ufafanuzi wametoa mpaka sasa!

View attachment 3281231
View attachment 3281892


Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hao wanajidhalilisha. Sasa, kwani walikuwa wanamfanyia interview aliyetamka maneno au alitamka mwenyewe?
 
Uandishi wa habari wenye weledi huwa mwandishi anafanya utafiti pia.Kwa mfano,kabla ya kuchapisha hizo taarifa angeweza kutafiti kama inawezekana kununua virusi hivyo na kuvisambaza.Na madhara ya kutangaza jambo hilo kiuchumi nk.
Kwenye hiyo habari binaft sioni kosa la gazeti! Makalla aliongea live kabisa tena jamii
 
Back
Top Bottom