Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,369
- 6,875
Mama angekuwa msikivu huyu mtu hakutakiwa kuendelea kukalia kiti alichopo,
Soma niliyemkoti bossWhat case do you mean?
Sidhani kama unaelewaMakala, hakuongelea kifichoni! Sina shaka, umesoma na kwenye magazeti, imeandikwa hiyo habari!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Maza mwenyewe ndiyo huyoMama angekuwa msikivu huyu mtu hakutakiwa kuendelea kukalia kiti alichopo,
Hali suala nikifikiria namna walivyodeal na COVID-19, Mpox na Marburg, unaona kabisa kuna trend fulani ya denial, na conspiracy theories zinaongoza maamuzi ya wanasiasa kudeal na majanga ya kiafya, kitu ambacho ni hatari sana. Mfano COVID-19 ingekuwa virulent kama strains wa mwanzo kabisa nchi hii ingepukutisha wanacho wengi hata zaidi. Hata Marburg inaonekana ililazimika kuweka jitihada kubwa sana kufukia gap ku-catch-up na rate ya ugonjwa kusambaa kwenye jamii.Kila nikitafakari uwezo wa huyo mwenezi nashindwa kuielewa sisiem, eti wanataka kuingiza virus vya ebola, ni kichaa peke yake ndio anaweza kumwelewa huyu zumbukuku. Hayo madaraka mnayopewa yatumieni kwa akili. Madaraka hayo yasiwalevye. Tumieni hekima na busara mnapotoa kauli zenu. Zaidi naona mnajivua nguo tu na kuonyesha jinsi gani hamjakomaa kisiasa
Hii nchi inajiendea tu kama imepoteza dira hiviMaza mwenyewe ndiyo huyo