Habari kwa wafanyabiashara na ma-contractors!

Habari kwa wafanyabiashara na ma-contractors!

JOH CARLOS

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2016
Posts
582
Reaction score
272
Je, unatafuta namna ya kuomba zabuni za serikali na taasisi mbalimbali kupitia mfumo wa NeST bila makosa? Usipoteze fursa ya kushinda tender kwa sababu ya makosa madogo ya kimfumo au upungufu wa nyaraka.

Sisi tunakuhakikishia huduma bora ya:

  1. Kuandaa Documents Zote: Tunasaidie kuandaa nyaraka zako zote ziwe katika viwango vinavyotakiwa.
  2. Ujazaji wa NeST: Kushughulikia mfumo mzima kuanzia mwanzo hadi mwisho.
  3. Gharama Nafuu: Huduma yetu ni ya viwango vya juu lakini kwa bei rafiki kabisa kwa mfuko wako.

Okoa muda na uongeze nafasi ya kushinda zabuni leo.


📞 Wasiliana nasi sasa kwa namba: 0753403263
 
Nyie ni akina nani/kampuni yenu inaitwaje?

Ofisi zenu zipo wapi na mkoa gani?

Garama zenu zipoje kwenye upembuzi yakinifu, uoatikanaji wa nyaraka na kadhalika?
 
Nyie ni akina nani/kampuni yenu inaitwaje?

Ofisi zenu zipo wapi na mkoa gani?

Garama zenu zipoje kwenye upembuzi yakinifu, uoatikanaji wa nyaraka na kadhalika?
Sisi ni GIFTECH CO. LTD, kampuni ya ujenzi na ukandarasi iliyosajiliwa kisheria. Pamoja na shughuli zetu za ujenzi, tunatoa pia huduma ya kitaalamu ya kuandaa nyaraka (documents) na kujaza zabuni (Tenders) kwenye mfumo wa NeST. Kwa sababu sisi wenyewe ni wakandarasi, tuna uzoefu wa ndani na wa vitendo wa kujua nini bodi za zabuni zinatafuta
Nyie ni akina nani/kampuni yenu inaitwaje?

Ofisi zenu zipo wapi na mkoa gani?

Garama zenu zipoje kwenye upembuzi yakinifu, uoatikanaji wa nyaraka na kadhalika?
Ofisi zipo Mabibo Dsm,
Gharama zetu ni nafuu sana na zenye ushindani sokoni, na huwa zinategemea ukubwa na aina ya tender unayoomba (pamoja na wingi wa nyaraka zinazotakiwa kuandaliwa).

Hatuna bei moja iliyofungwa kwa sababu mahitaji ya kila kazi yanatofautiana. Ili nikupe ofa nzuri na makadirio ya bei yaliyo sahihi kwa kazi yako, tafadhali nicheki sasa hivi WhatsApp au nifuate DM kwa namba 0753403263 tuongee.
 
Back
Top Bottom