bilengeh
Senior Member
- Mar 31, 2017
- 135
- 86
Habari za saa hizi wapendwa
Leo nataka nitoe habari bicha kama ifuatavyo
Msataafu- hallow Mh raisi hujambo
JPM- CJAMBO MKUU HABARI ZA MAPUMZIKO
Mstaafu- ebhana bwa mdogo nimesahau ugoro wangu hapo kwenye draw (
)
JPM- HHHH MKUU HUJAACHA MATANI YAKO MZEE
Mstaafu- hapana niku serious

Mazungumzo yakaendeleee kwa saa kadhaa mpk kufikia mwisho
JPM- MZEE WANGU NIMEKUEELEWA NA AHIDI NITAUFANYIA KAZI USHAURI WAKO
Mstaafu - na uzingatie bimadaamu bwana hawana shukrani mana wahenge walisema fadhila ya punda mateke
JPM - nni kweli nimejifunza mengi kutoka kwako pamoja na utu wako na kuwathamini lkn bado walikosa shukurani wakawa wanakuandama na matusi na kebehi.
Lkn kwangu watanikalia mbali mita mia
Sitaki ujamaa nao
Mitaaa ya Rukwa.
Tundu- hallow mkuu
Makarai- ndio mwanasheria msomi
Tundu- ebhana mkuu kuna mpya gani!?
Makarai- mdogo wangu nimemiss Magogoni. Chai ya pale ni kiboko
Tundu- hhhhhhh mkuu hata mimi nimemiss nilikuwa na wazo hilo hilo ngoja tupigepige kelele tupate sababu ya kutupeleka white house
Baada ya mwezi
Makarai- mkuu vp barua imejibiwa?
Tundu - hapana mzee... Huyu msukuma kakataa katukatu
Makarai - basi hakuna namna nami nimepamiss hapo fanya mpango hata kwa maandamano tuende bhanaaaaa
Tubdu- hilo mbona dogo kwangu umefika mkuuu
Maraaaa PAAP
Simu inaiitaaa tiiiiiiiiiii tiiiii tiiii
Halllow?
Makarai- mzee za kuamka bhana
Mstaafu- salamu tuu mheshimiwa
Makarai- ebhana mbona huyu jamaa yako c muungwana
Mstaafu- kwanini?
Makarai- yani anaroho mby hata chai ya ikulu anatubania.
Mstaafu- hhhhh bwanamdogo jitahidi kumzoea
Makarai- tumekumiss sana mzee wetu ulikuwa raisi bora
Mstaafu-- hhhhhhhh leo ndo unayajua hayo hhhhhhhh kipinde kile na ukarimu wote nilikuwa nawaonesha mukanilipa nini???!!!
Mkarai - halllow,,,, hallow Mh network inakatakata... Hal.......
Note;; sio kila akuchekeae ni mwema kwako binadamu wengi hatuna shukraani
~the end~
Leo nataka nitoe habari bicha kama ifuatavyo
Msataafu- hallow Mh raisi hujambo
JPM- CJAMBO MKUU HABARI ZA MAPUMZIKO
Mstaafu- ebhana bwa mdogo nimesahau ugoro wangu hapo kwenye draw (

)JPM- HHHH MKUU HUJAACHA MATANI YAKO MZEE
Mstaafu- hapana niku serious


Mazungumzo yakaendeleee kwa saa kadhaa mpk kufikia mwisho
JPM- MZEE WANGU NIMEKUEELEWA NA AHIDI NITAUFANYIA KAZI USHAURI WAKO
Mstaafu - na uzingatie bimadaamu bwana hawana shukrani mana wahenge walisema fadhila ya punda mateke
JPM - nni kweli nimejifunza mengi kutoka kwako pamoja na utu wako na kuwathamini lkn bado walikosa shukurani wakawa wanakuandama na matusi na kebehi.
Lkn kwangu watanikalia mbali mita mia
Sitaki ujamaa nao
Mitaaa ya Rukwa.
Tundu- hallow mkuu
Makarai- ndio mwanasheria msomi
Tundu- ebhana mkuu kuna mpya gani!?
Makarai- mdogo wangu nimemiss Magogoni. Chai ya pale ni kiboko
Tundu- hhhhhhh mkuu hata mimi nimemiss nilikuwa na wazo hilo hilo ngoja tupigepige kelele tupate sababu ya kutupeleka white house
Baada ya mwezi
Makarai- mkuu vp barua imejibiwa?
Tundu - hapana mzee... Huyu msukuma kakataa katukatu
Makarai - basi hakuna namna nami nimepamiss hapo fanya mpango hata kwa maandamano tuende bhanaaaaa
Tubdu- hilo mbona dogo kwangu umefika mkuuu
Maraaaa PAAP
Simu inaiitaaa tiiiiiiiiiii tiiiii tiiii
Halllow?
Makarai- mzee za kuamka bhana
Mstaafu- salamu tuu mheshimiwa
Makarai- ebhana mbona huyu jamaa yako c muungwana
Mstaafu- kwanini?
Makarai- yani anaroho mby hata chai ya ikulu anatubania.
Mstaafu- hhhhh bwanamdogo jitahidi kumzoea
Makarai- tumekumiss sana mzee wetu ulikuwa raisi bora
Mstaafu-- hhhhhhhh leo ndo unayajua hayo hhhhhhhh kipinde kile na ukarimu wote nilikuwa nawaonesha mukanilipa nini???!!!
Mkarai - halllow,,,, hallow Mh network inakatakata... Hal.......
Note;; sio kila akuchekeae ni mwema kwako binadamu wengi hatuna shukraani
~the end~