Habari enzi hizo na tbc1

Mpui Lyazumbi

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
1,856
371
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Tanganyika, tbc1 wameweka kipengele cha habari enzi hizo kwenye taarifa ya habari ya sa2 usiku huu. Wameahidi kufanya hivyo hadi kilele chenyewe. Kwa kuanzia wamemwonyesha makamu wa kwanza wa rais Abeid Karume, alipokagua shughuli za maendeleo kisiwani pemba mwaka 1966. Nilichokiona ni "lugha ya picha". Karume ameonyesha kilicho moyoni ndo kinachotendeka kwa ustawi wa taifa. Baadhi ya viongozi wetu siku hizi wanatenda wasiyoyaamini. Na wanaamini wasiyoyatenda. Tukitazame kuna mengi tutajifunza.
 
ah mpaka nivae miwan ndo ntaziona fresh,manake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kimeanza toka juzi tarehe 1 Juni 2011... shida kubwa ni masimulizi ya KI-HOBELA HOBELA... Nadhani wangevi-segment... kwenye kilimo,viwanda,barabara,Nyumba etc... sio kuweka ziara za Mbeya,Rukwa na Pemba Agggrrrrr...
 
Picha za video za TV wamezipata wapi wakati enzi hizo sidhani kama kulikuwa na wapiga picha za TV, mwenye kujua yeyote au toka TBC mtujuze.
 
Back
Top Bottom