martial arts
Senior Member
- Jun 26, 2014
- 191
- 100
Habari za muda huu wakuu,kama kichwa kinavyojieleza,kwa wale wazoefu wa jiji ningependa kuuliza ni gym gani ambayo ni nzuri with affordable price kwa maeneo ya kariakoo,upanga,msasani na masaki.Bei isiwe zaidi ya 50000 kwa mwezi au ikienda sana 60000.
Nawasilisha
Nawasilisha