zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
View attachment 50946
jamaa kapendeza na GWANDA LA CHADEMA
jamaa kapendeza na GWANDA LA CHADEMA
View attachment 50946
jamaa kapendeza na GWANDA LA CHADEMA
Gwanda linamchanganya hata Nape. Siku anakiri na kupongeza ushindi wa CHADEMA Arumeru alivaa gwanda japo lilikuwa jeusi. Lakini hata sare zake za CCM nyingine ni magwanda ya kijani.
Unataka kuniambia huyu mwana Chadema wote hao ni watoto wake?!!!!!!!!!!!Nimemkubali sana jamaa huyu, natamani sana kufanya hivyo, lakini watoto wangu wote wana umri zaidi ya miaka 18, na wametawanyika sehemu mbali mbali ya nchi. Nitajitahidi niwashawishi ili tupate picha ya pamoja kama hiyo.