TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
- Thread starter
-
- #121
Na waliowapa Mikataba akiwepo Magufuli walidhani nini?wewe kwa maoni yako haya kama hujatumwa ni wakuonewa huruma. huna self esteem unafikiri marndeleo yataletwa na wageni au mabwanyenye.
Hujui unachokisema, subiri ununue mkate kwa Tsh. 50,000 ndio utajua! I hope it will not come to that!Acha tupate shida kaa hukohuko USA tuachie TZ yetu!!
Nionee tu huruma kwani sijatumwa ila. Nina hofu genuine ya yanayoweza kuathiri Nchi. I hope am wrong! I really do!wewe kwa maoni yako haya kama hujatumwa ni wakuonewa huruma. huna self esteem unafikiri marndeleo yataletwa na wageni au mabwanyenye.
Kwenda huko kila siku kuiombea mabaya tu TZ yetu!! Baki hukohuko tu!!Hujui unachokisema, subiri ununue mkate kwa Tsh. 50,000 ndio utajua! I hope it will not come to that!
BuhaaaaaahaaaaaHujui unachokisema, subiri ununue mkate kwa Tsh. 50,000 ndio utajua! I hope it will not come to that!
Kipindi hicho mh.lowassa na mh sumaye walikuwa wenye viti wa serikali za mtaa buhaaàNa waliowapa Mikataba akiwepo Magufuli walidhani nini?
Mtoa mada elewa vizuri kuwa Rais Magufuli hajataifisha mali ya kampuni yeyote ila anataka kuona Tanzania kama taifa inanufaika vipi na Madini, kwa mtu yeyote haingii akilini leo kuna mwekezaji anachukua Mchanga wa wenye madini na kutoa nje ya nchi kwasababu aliweka mikataba mibovu na viongozi waliotangulia, hivi leo kiongozi akiamua kutaka kujua uhalisia wa madini yetu yanavyoondoka bila utaratibu ni kosa, Rais Magufuli hajatoa tamko la Kwamba anachukia ubepari ila anachotaka ni hawa mabepari walipe kodi. Mbona taifa kama Bostwana inanufaika na uzalishaji wa almasi. Rais Magufuli anafaaa kusifiwa kwani yeye kama kiongozi wa CCM hakubaliani na madudu ya viongozi waliomtangulia kwani kwa miaka mingi CCM imekuwa chama cha kulindana, Watanzania hawakutegemea anaweza kutokea kiongozi ndani ya CCM akaweza kuibua masuala ya madini. Unapozungumzia Cuba na Chile hayo yalikuwa ni mapambano ya kitikadi Capitalism/Ukominist kwahiyo haiwezi kufananishwa na matatizo yetu ya madini, kuhusu Venezuela ilikuwa ni kosa la Hugo Chaves kutaifisha yale makampuni ya mafuta.Hakuna anayebisha Tanzania kwenye madini na mafuta hatujaibiwa, ila hatukuibiwa kwa kulazimishwa! Tuliibiwa kwa usaliti wa viongozi wetu kuanzia marais na mawaziri, wanasheria na wabunge wa CCM, akiwepo huyu Rais Magufuli, kwa uzembe na usaliti wa ajabu sana walipitisha mikataba ile kwa mbembwe na kebehi kubwa kwa waliowapinga! Na nasema ni kuwa misguided kwa kuwa yeyote anayeshabikia approach ya Rais Magufuli, kwenye hili swala la madini anayeshabikia ni kwamba yuko misguided kiasi cha kuhurumiwa. Awe ni rafiki au ni adui kwangu nitasema kwa masikitiko sina jina lingine la kumpa ni kuwa yuko misguided.
Kuna msemo usemao asiyejifunza kwa historia mbaya, itamrudia. Ni kweli madini ni yetu, mafuta ni yetu lakini tumeingia mikataba ya kupunjwa ka hiyari yetu wenyewe au niseme kwa hiyari ya wale tuliowaamini kusimania nchi yetu.
Sasa kuna aliyesema ati hatuwezi kuacha madini yetu kuchukuliwa kwa sababu ya kakaratasi. That is none sense, mkataba ni zaidi ya makaratasi na zina wadau wengi, kuna mikopo ya mabank, kuna share holders wanaozi commit pesa zao kutokana na assets za kampuni na assets za kampuni ni pamoja na zabuni na contracts. Kukiwa na dosari au malalamiko credible njia pekee ya kuepuka migogoro yenye kuleta hasara kubwa ni negotiations sio kutishana wala uhuni.
1)Kuna mifano mingi ya kujifunza, uchumi wa kenya leo ni mzuri zaidi ya Tanzania kwa sababu mwalimu Nyerere alitaifisha mali za wageni.
2) Pia miaka ya 77 hadi 85 Tanzania tulipanga foleni kununua kipande cha sabuni mbuni kwa kuwa mwalimu Nyerere aligoma kulipa madeni na pia aliingia mgogoro na world bank na IMF.
3)Venezuela leo kuna shida kubwa ya uchumi kwa sababu Hugo Chavez alitaifisha visima vya mafuta.
Vya wazungu kwa vile tu aliamini mafuta ni ya Venezuela. Sasa venezuela haitawaliki
4) Zimbabwe Mugabe kachukua ardhi which was ok, lakini kwa zoezi lililofanywa kihuni bila mpango wala maelewano.
5) Iraq Saddam leo ni hayati lakini kisa hasa ni mafuta alitaifisha visima vya wazungu na miaka yote ugomvi wote waliyataka.
6) Ojuku wa Biafra alishidwa kwa kuwa sera yake ilikuwa ni kutaifisha mali Biafra.
7) Gaddafi vivyo hivyo.
8) Salvador ayende wa chile walimreplace kwa kumuua na kumweka Agusto Pinochet
9) Walipambana na Fidel Castro miaka zaidi ya 50 na mwisho baada ya kuteseka Cuba wanaelekea ubepari.
CCM ilifanya usaliti sana kuiuza nchi kwenye kikapu kwa hili swala la madini. Ila Rais Magufuli wa CCM anayetaka sifa za kisiasa anafanya kosa kubwa zaidi kwa kudhani ataweza kuponyoka kwa kutatua swala hili kihuni na kibabe kama mazoea yake. Before we know it Tanzania itakuwa kama Zimbabwe ya miaka mitano iliyopita. Je hiyo ni hekima?
Mtoa mada elewa vizuri kuwa Rais Magufuli hajataifisha mali ya kampuni yeyote ila anataka kuona Tanzania kama taifa inanufaika vipi na Madini, kwa mtu yeyote haingii akilini leo kuna mwekezaji anachukua Mchanga wa wenye madini na kutoa nje ya nchi kwasababu aliweka mikataba mibovu na viongozi waliotangulia, hivi leo kiongozi akiamua kutaka kujua uhalisia wa madini yetu yanavyoondoka bila utaratibu ni kosa, Rais Magufuli hajatoa tamko la Kwamba anachukia ubepari ila anachotaka ni hawa mabepari walipe kodi. Mbona taifa kama Bostwana inanufaika na uzalishaji wa almasi. Rais Magufuli anafaaa kusifiwa kwani yeye kama kiongozi wa CCM hakubaliani na madudu ya viongozi waliomtangulia kwani kwa miaka mingi CCM imekuwa chama cha kulindana, Watanzania hawakutegemea anaweza kutokea kiongozi ndani ya CCM akaweza kuibua masuala ya madini. Unapozungumzia Cuba na Chile hayo yalikuwa ni mapambano ya kitikadi Capitalism/Ukominist kwahiyo haiwezi kufananishwa na matatizo yetu ya madini, kuhusu Venezuela ilikuwa ni kosa la Hugo Chaves kutaifisha yale makampuni ya mafuta.
Ni kitu cha aibu kubwa kwa wanasheria wetu Mheshimiwa Chenge/Werema waliokuwa wakihusika na mikataba iliyoitia nchi hii hasara wanatoa tamko la kumkatisha Rais Magufuli tamaa.
Ukiaangalia sehemu kubwa ya sehemu migodi hii iliyopo wananchi wanaishi kwa umasikini mkubwa, mfano Nyamogo kabla ya hawa wawekezaji kujaa kipato cha mwananchi wa kawaida kilikuwa kikubwa kwasababu ya uchimbaji mdogo ulikuwepo. Ukiangalia historia ya makampuni haya ya migodi kila baada ya miaka michache kampuni inauzwa kwa kampuni nyingine ina maana siku za mwizi ni 40 Acacia ndio amekamatwa na mchezo huu mchafu.
Na uhakika hawa wawekezaji kwa kulinda maslahi yao watafanya mazungumzo na serikali na taifa tutaanza kuona matunda ya madini yetu.
Ha ha ha haaaaaaaaaa
Hapa kazi tu
Magufuli oyeeeeeeeeeeee
Sijakuzuia wewe kumtia Moyo Dear, Ila mimi sina anything to do na Mtu MwoneziMkuu hakuna binadamu aliyekamilika ila inapokuja National Interest lazima tuwe kitu kimoja na kiongozi huyu tusimvunje moyo, Tanzania ilikuwa imefika pabaya kwenye suala la utawala bora/corruption, kiongozi huyu sio kwamba anapendelea CCM mpaka wafadhili wakubwa kama kina Manji wameonyeshwa njia ya rule of law. Tusiangalie upande mmoja wa shilingi lazima na mazuri ya huyu kiongozi uyaone.
Hebu wakati mwingine acha ushabiki utoe hoja kama unadhani mleta hoja kapotosha...
Nani wa kuipitisha katiba mpya?! Ccm?!Kumtaja magufuli ni kumsingizia hapa.....aliyesaliti hii nchi ni Mkapa tena kwa kiasi kikubwa sana na kwa makusudi tu ili kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake huku akiwachagua baadhi ya wabunge (CCM) na mawaziri wake waunge mkono kauli yake. Mwingine ni Kikwete. Ikumbukwe, kila mara Kikwete alikuwa na desturi ya kutembelea migodi kuona biashara ya Mze wake inakwendaje. Kwa kweli katiba ya nchi yetu inabidi irekebishwe ili hawa marais wetu waliopita wakamatwe na kunyongwa kabla Mungu hajawachukua. LAZIMA hii ifanyike ili kuleta heshima nchini.
Wewe usituletee mambo ya dini hapa. Kama unataka khilafa hamia huko Saudia au AfghanistanSuluhisho la tatizo hili la kirasilimali duniani n kuepukana na DEMOKRASIA kwani hii n mkono wa CAPITALISM bingwa nyonyaji wa ulimwengu wengi waliopiga hatua waliikataa hii demokrasia Jaman fuatilieni kitu kinaitwa KHILAFAH huu ndo mfumo bora kutawala na ndio unakuja kuyawala na watu kupata amani ya kweli