Gwajima yuko sahihi na ninasimama nae

Gwajima yuko sahihi na ninasimama nae

Attachments

  • IMG_20230125_142552.jpg
    IMG_20230125_142552.jpg
    51.3 KB · Views: 7
Inakuwaje chokochoko ya kidini? Katukana dini ingine? Angemsifia Rais kwenye nyumba ya Ibada ingekuwa chokochoko ya kidini? Kufungia taasisi ya kidini yenye waumini kibao kwa "kosa" la muumini moja, hii ndio twaweza tafsiri kama chokochoko ya kidini hasa mwenye mamlaka akiwa wa dini ingine.
Hakika
 
Yeye ni mbunge,Akapaze Saudi bungeni,Asilete chokochoko za dini kwenye nyumba za ibada,Na hii siyo yeye tu ni kwa dini zote.
Japo wewe ni mpumbavu naomba tu nikujibu kiungwana, Gwajima anajua wazi kuwa wanufaika wakubwa wa utekaji na mauaji hayo wapo hukohuko bungeni, kwa hiyo ingekuwa vigumu kwake kuongelea masuala hayo huko,

Pili, hakuna sheria yoyote inayokataza kiongozi wa dini kukumea maovu ndani ya nyumba ya ibada, utekaji na mauaji ni uovu tu kama mwingine, so ni m9ja ya jukumu lake kukemea.
 
Back
Top Bottom