Gwajima yuko sahihi na ninasimama nae

Gwajima yuko sahihi na ninasimama nae

temoin

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2025
Posts
217
Reaction score
475
Inatosha nasema tena inatosha. Ni mda sasa watanzania kuacha kushabikia ulimbukeni na kukemea hiki serekali inachokifanya.

Democracy maana yake ni mtu kuwa na uhuru wa kutoa maoni bila kujali anatoa dhidi ya nani. Gwajima kuongea suala la utekaji hayo ni maoni yake na hajavunja sheria yoyote ya nchi, nashangaa sana watu wanamshambulia kuwa anavunja amani na utulivu nchini.

Hivi kati ya utekaji na utoaji maoni ni kipi kinahatarisha amani na nchi? Si bure hata serekali inapata kiburi cha kufanya huu ujinga kwa kuona kuwa bado kuna watu wanawaunga mkono, ni mda sasa wa sisi kama raia kusimama na kupasa sauti kukemea huu uonevu mama no matter what.

Gwajima katoa maoni yake kama raia wa tanzania na ana haki ya kuskilizwa, hajainua bunduki kuingia mtaani kuua watu. Maoni yake yaheshimike
 
Yeye ni mbunge,Akapaze Saudi bungeni,Asilete chokochoko za dini kwenye nyumba za ibada,Na hii siyo yeye tu ni kwa dini zote.
Hata angesema bungeni angeandamwa tu. Huyu femme keshajiona mungu mtu
 
Inatosha nasema tena inatosha. Ni mda sasa watanzania kuacha kushabikia ulimbukeni na kukemea hiki serekali inachokifanya.

Democracy maana yake ni mtu kuwa na uhuru wa kutoa maoni bila kujali anatoa dhidi ya nani. Gwajima kuongea suala la utekaji hayo ni maoni yake na hajavunja sheria yoyote ya nchi, nashangaa sana watu wanamshambulia kuwa anavunja amani na utulivu nchini.

Hivi kati ya utekaji na utoaji maoni ni kipi kinahatarisha amani na nchi? Si bure hata serekali inapata kiburi cha kufanya huu ujinga kwa kuona kuwa bado kuna watu wanawaunga mkono, ni mda sasa wa sisi kama raia kusimama na kupasa sauti kukemea huu uonevu mama no matter what.

Gwajima katoa maoni yake kama raia wa tanzania na ana haki ya kuskilizwa, hajainua bunduki kuingia mtaani kuua watu. Maoni yake yaheshimike
Najiuliza tu kosa la gwajima ni lie la kutoa ushauri au la!
 
Yeye ni mbunge,Akapaze Saudi bungeni,Asilete chokochoko za dini kwenye nyumba za ibada,Na hii siyo yeye tu ni kwa dini zote.
Inakuwaje chokochoko ya kidini? Katukana dini ingine? Angemsifia Rais kwenye nyumba ya Ibada ingekuwa chokochoko ya kidini? Kufungia taasisi ya kidini yenye waumini kibao kwa "kosa" la muumini moja, hii ndio twaweza tafsiri kama chokochoko ya kidini hasa mwenye mamlaka akiwa wa dini ingine.
 
Inatosha nasema tena inatosha. Ni mda sasa watanzania kuacha kushabikia ulimbukeni na kukemea hiki serekali inachokifanya.

Democracy maana yake ni mtu kuwa na uhuru wa kutoa maoni bila kujali anatoa dhidi ya nani. Gwajima kuongea suala la utekaji hayo ni maoni yake na hajavunja sheria yoyote ya nchi, nashangaa sana watu wanamshambulia kuwa anavunja amani na utulivu nchini.

Hivi kati ya utekaji na utoaji maoni ni kipi kinahatarisha amani na nchi? Si bure hata serekali inapata kiburi cha kufanya huu ujinga kwa kuona kuwa bado kuna watu wanawaunga mkono, ni mda sasa wa sisi kama raia kusimama na kupasa sauti kukemea huu uonevu mama no matter what.

Gwajima katoa maoni yake kama raia wa tanzania na ana haki ya kuskilizwa, hajainua bunduki kuingia mtaani kuua watu. Maoni yake yaheshimike
Kauli zina nguvu kuliko vitendo. Rudi usome historia.
 
Inatosha nasema tena inatosha. Ni mda sasa watanzania kuacha kushabikia ulimbukeni na kukemea hiki serekali inachokifanya.

Democracy maana yake ni mtu kuwa na uhuru wa kutoa maoni bila kujali anatoa dhidi ya nani. Gwajima kuongea suala la utekaji hayo ni maoni yake na hajavunja sheria yoyote ya nchi, nashangaa sana watu wanamshambulia kuwa anavunja amani na utulivu nchini.

Hivi kati ya utekaji na utoaji maoni ni kipi kinahatarisha amani na nchi? Si bure hata serekali inapata kiburi cha kufanya huu ujinga kwa kuona kuwa bado kuna watu wanawaunga mkono, ni mda sasa wa sisi kama raia kusimama na kupasa sauti kukemea huu uonevu mama no matter what.

Gwajima katoa maoni yake kama raia wa tanzania na ana haki ya kuskilizwa, hajainua bunduki kuingia mtaani kuua watu. Maoni yake yaheshimike

Ukweli utatuweka huru daima.

Biblia Takatifu:
Mithali 29 : 2
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua
 
Mungu SAA 100 hataki aongelewe popote wala hacheki na wowote anachotaka mitano tena full stop, jichanganye akuue wala hana haya anawaambia waueni tu kenge hao,
 
Unasimama nae hapa Jf 🤣 🤣

Heri kusimama naye hata jf, kuliko kusimama na hizi:

Screenshot_20250306-183123_1.jpg


imhotep, Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa, Fortilo na wale wengine au nasema uongo?
 
Hizi nguvu zinazotumika kulizingira kanisa ,zingetumika kuwatafuta watekaji ingekaa sana poa.

Ila mama anatudai kura ya Hapana.
 
Back
Top Bottom