Gwajima; Ujumbe Huu ni wa Mfalme wa Kale au Tuliyenaye?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,797
71,217

Ujumbe huu unaonekana kama anamtaja Kikwete, lakini unaonyesha ni kama anautoa kwa walio na madaraka sasa.
Ni sawa na neno la mahubiri mazishini kuhusu uzinzi, haliwezi kuwa anafundishwa marehemu bali wanao mzika marehemu. Ni vyema watafakari.
 

Ujumbe huu unaonekana kama anamtaja Kikwete, lakini unaonyesha ni kama anautoa kwa walio na madaraka sasa.
Ni sawa na neno la mahubiri mazishini kuhusu uzinzi, haliwezi kuwa anafundishwa marehemu bali wanao mzika marehemu. Ni vyema watafakari.

Wakristo hawana unafiki jembe wanaita jembe.......Askofu Gwajima kamtaja Kikwete na Kova mkuu Chakaza usikariri!
 

Ujumbe huu unaonekana kama anamtaja Kikwete, lakini unaonyesha ni kama anautoa kwa walio na madaraka sasa.
Ni sawa na neno la mahubiri mazishini kuhusu uzinzi, haliwezi kuwa anafundishwa marehemu bali wanao mzika marehemu. Ni vyema watafakari.



Kwa tarehe ya leo JK na Kova wametajwa kama mifano tu.
Mahubiri ni juu ya kifo kabla ya wakati.....
 
Kajamaa kanatamani kubadili hayo maneno yatamke JMP lkn ndio hivyo kanaishia kusinoneka.

Pole sana mleta mada..
Endeleeni kumoigania Membe hadi 2020
Kwani wengine ni wajinga kama nyie mnaoshindwa kutambua ujumbe huu umeenda kwa nani mpaka mtajiwe?
 
Wakristo hawana unafiki jembe wanaita jembe.......Askofu Gwajima kamtaja Kikwete na Kova mkuu Chakaza usikariri!

Huo ujumbe ni relevant kwa majira yote. Hata wewe na Magufuli unawahusu. Kelele za sifa anazopigiwa magufuli sasa ni kwakuwa tu amebeba urais nje ya hapo asahau. Kila mtu ana majira yake muhimu ni kuishi kwa busara na hekima.
 
Nimemsikia askofu Gwajima akisema viongozi wa kisiasa wakiondoka madarakani wanaexpire na kurudi kuwa raia wa kawaida. Ametoa mfano wa Rais mstaafu Kikwete na afande Kova ambao wamerudi uraiani baada ya kustaafu.
Gwajima amesema kwa sasa wastaafu hawa Kikwete anayeishi Msoga na Kova anayeishi gongolamboto hawana tofauti na yeye kimaisha.

Ndio namwambia tu labda kwa afande Kova lakini mstaafu Kikwete hatafanana naye kamwe.
Niishie hapo!
 
Nimemsikia askofu Gwajima akisema viongozi wa kisiasa wakiondoka madarakani wanaexpire na kurudi kuwa raia wa kawaida. Ametoa mfano wa Rais mstaafu Kikwete na afande Kova ambao wamerudi uraiani baada ya kustaafu.
Gwajima amesema kwa sasa wastaafu hawa Kikwete anayeishi Msoga na Kova anayeishi gongolamboto hawana tofauti na yeye kimaisha.

Ndio namwambia tu labda kwa afande Kova lakini mstaafu Kikwete hatafanana naye kamwe.
Niishie hapo!
Hawa watumishi na mitume uchwara hawana shukrani kabisa.
Hawajui Historia ya makanisa ya Kiroho hapa Tanzania.

Hawajui kuwa kama sio Mzee Ruksa na hatimaye Mzee Kikwete haya makanisa ya binafsi yasingechanua hapa Tanzania.
Wangeyasikia tu kwenye BBC na kwenye CNN.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Mzee Ruksa na JK wamesadia sana ustawi was Dini zote bila kubagua.

Mwacheni Mzee Kikwete apumzike zake wala musimbughudhi kwa maneno ya Kejeli.
 
Nimemsikia askofu Gwajima akisema viongozi wa kisiasa wakiondoka madarakani wanaexpire na kurudi kuwa raia wa kawaida. Ametoa mfano wa Rais mstaafu Kikwete na afande Kova ambao wamerudi uraiani baada ya kustaafu.
Gwajima amesema kwa sasa wastaafu hawa Kikwete anayeishi Msoga na Kova anayeishi gongolamboto hawana tofauti na yeye kimaisha.

Ndio namwambia tu labda kwa afande Kova lakini mstaafu Kikwete hatafanana naye kamwe.
Niishie hapo!
rudia tena kuisikiliza hiyo hotuba y gwajima, labda utelewa. Pia wakati unaisikiliza isikilize kama mtanzania uatelewazaidi, usisikilize kama mwanaccm maana hutaambulia kitu..
 
Hawa watumishi na mitume uchwara hawana shukrani kabisa.
Hawajui Historia ya makanisa ya Kiroho hapa Tanzania.

Hawajui kuwa kama sio Mzee Ruksa na hatimaye Mzee Kikwete haya makanisa ya binafsi yasingechanua hapa Tanzania.
Wangeyasikia tu kwenye BBC na kwenye CNN.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Mzee Ruksa na JK wamesadia sana ustawi was Dini zote bila kubagua.

Mwacheni Mzee Kikwete apumzike zake wala musimbughudhi kwa maneno ya Kejeli.
Sawa
 
Back
Top Bottom