Gwajima; Ujumbe Huu ni wa Mfalme wa Kale au Tuliyenaye?

Pengo aliwahi kupeleka ombi Kwa Rais Kikwete wadhibiti utitiri wa Makanisa haya ya kiroho lakin Jakaya akampotezea kuheshimu uhuru Wa watu kuabudu
Kabla ya Utawala wa Mzee ruksa haya makanisa ya kiroho hayakuruhusiwa na walioyaanzisha walipata tabu sana.
Marehem Askofu Moses Kolola alikamatwa na kuswekwa ndani Mara kibao kwa kuhubiri injili ya imani yake ya Ulokole.
Mzee ruksa ndiye aliyapa Uhuru mkubwa. Na baadae Kikwete akayawezesha kuibuka mpaka hayo ya kina Gwajima ya kusalia kwenye majengo ya watu na magodown ya serikali lakini Gwahima kwa kutaka Sifa alikua anaonyesha chuki za wazi kwa JK.

Hajui hata hao aliokua anawaita mafisadi ndio waliokuwa wanajaza Makapu ya sadaka kanisani kwake na leo anatembelea Helkopta.
 
GWAJIMA

1544397655315.png

1544397683796.png



KOVA

1544397816665.png
 
Askof Gwajima anamchukia Sana Mh. Jakaya Kikwete chukia imevuka Mipaka japo Sijui alimfanyia kitu gani

Akina Askof Pengo angalau waliachana Na kumsema sema Kikwete walipogundua Kikwete kajiepusha kujibishana nao

Gwajima hajui Kuwa stahiki Za Rais aliepo Madarakani ukiachana Na zile Za Safari Asilimia 80% yake ndio anakula Jakaya

Gwajima hajui Kuwa Kamishna KOva alifikia cheo Cha juu kabisa Cha Muundo ndani ya Jeshi la Polisi Cha Full Kamishna cheo kinachomuhakikishia pato la uhakika mpaka Siku anakufa AU Sheria kubadilishwa

Nakumbuka Gwajima alimshambulia Sana Jakaya Kuwa hataki kukabidhi Uenyekti wa CCM Kwa Magufuli mpaka Kikwete akaja kufafanua mbele ta Rais Dodoma Kuwa Kwa Mara tatu alipeleka ombi la kukabidhi Uenyekti lakin Rais Magufuli akamwambia asuburi kwanza

'Sikung'ang'ania Urais ndio Nije kung'ang'ania Uenyekiti wa CCM?'- Jk


Tujifunze kuachana Na chuki Kwa Mtu asiekuwa Na time Na Wewe Kwa Kuwa Ni kupoteza Muda wako
Maneno yako mengi mno, lakini ukweli mmeshindwa kumuelewa Gwajima kabisa.
Mpelekee hata JK mwenyewe clip ya alichosema Gwajima atakuambia kasema kweli.
JF mbona u GT unapotea Kwa kasi namna hii?
 
Yaani kuna watu humu wameshindwa kumuelewa Koza,,mbona ujumbe upo wazi na utakuwa umemfikia mlengwa
 
Nafikiri ujumbe wa Gwajima unawalenga walioko madarakani kwa sasa lakini ametumia lugha ya mafumbo kufikisha ujumbe wake kwao kuwa ipo siku na wao watakuwa huku uraiani kama wenzake na wasijisahau kupitiliza
 
Nimemsikia askofu Gwajima akisema viongozi wa kisiasa wakiondoka madarakani wanaexpire na kurudi kuwa raia wa kawaida. Ametoa mfano wa Rais mstaafu Kikwete na afande Kova ambao wamerudi uraiani baada ya kustaafu.
Gwajima amesema kwa sasa wastaafu hawa Kikwete anayeishi Msoga na Kova anayeishi gongolamboto hawana tofauti na yeye kimaisha.

Ndio namwambia tu labda kwa afande Kova lakini mstaafu Kikwete hatafanana naye kamwe.
Niishie hapo!

Watu wa Kolomije wakishika Microphone basi hufikiri wasikilizaji wote ni mapopomaa
 
Back
Top Bottom