Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
Zamani kulikua hamna njaa labda mijini watu wa vijijini karibu kila nyumba watu walikuwa wanafuga
Wananchi walikuwa na mzao mdhuri tena ya kibiashara na ya chakula
Vijijini watu walikuwa na uwezo wa kutisha pombe na kuchinja nyama kila kaya mwishowe mwa weak and
Viwanda vilikuwepo
Upendo kati ya mwenye nacho na asiyekuwa nacho yalikuwepo
Watu walisoma pamoja bila kujali kama ni mtoto wa kiongozi
Kila mtanzania alikuwa ni mlinzi,polis,mwajeshi ilikuwa raha kweli kweli
Zama zile ulikuwa hujui hata DINI ya jirani yako.Wakati wa sikukuu tulialikana bila kujali IMANI ZETU.