Nndug zangu Waislaam.
Salaam ziwe juu yenu.
Leo sina maneno mengi sana ila kubwa nalotaka kuwajuza ni kwamba katika hili la mahakama ya kadhi litoshe kuwa funzo kwa kutowapa turufu wanasiasa kwa namna yeyote ile.
Pamoja na ubaya wa CCM katika hili lakin amin nawaambia kwamba hawa chadema chini ya Dr Slaa ndiyo wabaya zaid wa kuwapa trust katika hili.
Mfano hao ni huu uhusiano wa karibu wa huyu Padre Wilbroad Slaa wa chadema na Askofu Gwajima aliejinasibu kuwa ni Rafiki yake slaa wa karibu tokea zama na zama.
Gwajima kwa maneno yake machafu amekuwa kinara wa kuwakashifu waislam na kuwakebehi ikiwa ni pamoja na kuingilia mambo hayo kwa wazi wazi.
LEO HII ANAPOKUJA KUSIMAMA NA KUSEMA KWAMBA PADRE SLAA NI MTU WAKE WA KARIBU NA HUU UKARIBU WA SLAA KWA GWAJIMA HADI KUFIKIA HATUA YA KWENDA KUOMBEWA NI ISHARA TOSHA KWAMBA LAO NI MOJA.
SLAA na chadema KWA WAISLAM NI CHUI ALIEVAA NGOZI YA KONDOOO.
Hilo tuweni nalo makin sana.
Acha kuipigia CCM kampeni kwa mgongo wa matakwa ya watanzania na waislamu!