PreGE2025 Gwajima ameweka bendera ya Israel Kanisani kwake

PreGE2025 Gwajima ameweka bendera ya Israel Kanisani kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
Sasa Ile bendera ya Israel inaonyesha nini kuhusu imani yake Gwajima.?

Waisraeli anadhani wana Dini gani?

Askofu Gwajima anataka aonekane kwamba yeye peke yake ndiye mtetezi wa wanyonge.

Hao Waisraeli ndio wanaishambulia Gaza sasa hivi?

Nani anapenda kuona Wagaza wanashambuliwa namna ile?

Gwajima analeta multiple personality ambapo anataka awe na persona ya kuwa mtu mpole kumbe siyo sahihi hata kidogo.

Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka

Si ndio huyu Gwajima alikuwa akiongoza Kanisa la ufufuko na ibada za maiti? Au ni Gwajima mwingine? Unadhani ni mtu mzuri huyo anayehangaika na maiti?

Tatizo la Gwajima ni kukosa mantiki .Kuunganisha utekaji wa raia na kufukuzwa kazi kwa viongozi wa vyombovya Usalama.

Kwa argument ambazo Hazina mashiko anawachanganya akili simple folks ambao wanatazama wasomi ili wajue jambo la kufanya,na jambo la kusema.
 
Sasa Ile bendera ya Israel inaonyesha nini kuhusu imani yake Gwajima.?
Waisraeli anadhani wana Dini gani?
Ni Askofu Gwajima anataka aonekane kwamba yeye peke yake ndiye mtetezi wa wanyonge.
Hao Waisraeli ndio wanaishambulia Gaza sasa hivi?
Nani anapenda kuona Wagaza washambuliwa namna ile?
Gwajima analeta multiple personality ambapo anataka awe na persona ya kuwa mtu mpole kumbe siyo sahihi hata kidogo .
Si ndio huyu Gwajima alikuwa akiongoza Kanisa la ufufuko na ibada za maiti? Au ni Gwajima mwingine?
Unadhani ni mtu mzuri huyo anayehangaika na maiti?
Tatizo la Gwajima ni kukosa mantiki .
Kuunganisha utekaji wa raia na kufukuzwa kazi kwa viongozi wa vyombo.
Kwa argument ambazo Hazina mashiko anawachanganya akili simple folks ambao wanatazama wasomi ili wajue jambo la kufanya,na jambo la kusema.
Acha ujinga wewe, nimeona makanisa mengi ya walokole wameweka bendera ya Israel, wameanza kuweka bendera ya Israel kabla Gwajima hana hata kijiko. Usitafute uchawa wa kuwa kijitu kijinga kumsemelea Gwajima.
 
Sasa Ile bendera ya Israel inaonyesha nini kuhusu imani yake Gwajima.?
Waisraeli anadhani wana Dini gani?
Ni Askofu Gwajima anataka aonekane kwamba yeye peke yake ndiye mtetezi wa wanyonge.
Hao Waisraeli ndio wanaishambulia Gaza sasa hivi?
Nani anapenda kuona Wagaza washambuliwa namna ile?
Gwajima analeta multiple personality ambapo anataka awe na persona ya kuwa mtu mpole kumbe siyo sahihi hata kidogo .
Si ndio huyu Gwajima alikuwa akiongoza Kanisa la ufufuko na ibada za maiti? Au ni Gwajima mwingine?
Unadhani ni mtu mzuri huyo anayehangaika na maiti?
Tatizo la Gwajima ni kukosa mantiki .
Kuunganisha utekaji wa raia na kufukuzwa kazi kwa viongozi wa vyombo.
Kwa argument ambazo Hazina mashiko anawachanganya akili simple folks ambao wanatazama wasomi ili wajue jambo la kufanya,na jambo la kusema.

Hoja ya Kipumbavu. Yupo huru kuweka bendera yoyote . Mi kwangu nimeweka ya Palestine na Hamas. Wewe weka ya Tanzania au ya CCM.
 
Uzuri wa Tanzania ni uwepo wa watu wa kawaida na maskini ambao wameelimika, wapole, wenye nidhamu na wameridhika.
Wapo majority na wanatuknwa na kudharauliwa kila siku lakini wapo happy.

Hii inawaudhi baadhi ya watu, lakini hili ni jambo zuri na naomba liendelee.
 
Shida iko wapi mkuu

Yaani wewe unashangaa nini ilihali Tisheti yako imeandika Ronald au Pepe, umewahi kusemwa au kuulizwa ni kivipi
 
Sasa Ile bendera ya Israel inaonyesha nini kuhusu imani yake Gwajima.?
Waisraeli anadhani wana Dini gani?
Ni Askofu Gwajima anataka aonekane kwamba yeye peke yake ndiye mtetezi wa wanyonge.
Hao Waisraeli ndio wanaishambulia Gaza sasa hivi?
Nani anapenda kuona Wagaza washambuliwa namna ile?
Gwajima analeta multiple personality ambapo anataka awe na persona ya kuwa mtu mpole kumbe siyo sahihi hata kidogo .
Si ndio huyu Gwajima alikuwa akiongoza Kanisa la ufufuko na ibada za maiti? Au ni Gwajima mwingine?
Unadhani ni mtu mzuri huyo anayehangaika na maiti?
Tatizo la Gwajima ni kukosa mantiki .
Kuunganisha utekaji wa raia na kufukuzwa kazi kwa viongozi wa vyombo.
Kwa argument ambazo Hazina mashiko anawachanganya akili simple folks ambao wanatazama wasomi ili wajue jambo la kufanya,na jambo la kusema.
Gwajima anawanyima usingizi. Amini nakwambia hamtamuweza muda si muda ataibuka tena mwingine.
 
Ngoja nikwambie, Gwajima ni mbunge jimbo la kawe, lakini ukimgusa Gwajima ni sawa na kuigusa Mwanza, Shinyanga. Geita, Simiyu na Tabora. Tutaamka kuhesabiwa, tutaongea kikwetu, na mwisho tutakubaliana cha kufanya.
 
Sasa Ile bendera ya Israel inaonyesha nini kuhusu imani yake Gwajima.?

Waisraeli anadhani wana Dini gani?

Ni Askofu Gwajima anataka aonekane kwamba yeye peke yake ndiye mtetezi wa wanyonge.

Hao Waisraeli ndio wanaishambulia Gaza sasa hivi?

Nani anapenda kuona Wagaza washambuliwa namna ile?

Gwajima analeta multiple personality ambapo anataka awe na persona ya kuwa mtu mpole kumbe siyo sahihi hata kidogo .

Si ndio huyu Gwajima alikuwa akiongoza Kanisa la ufufuko na ibada za maiti? Au ni Gwajima mwingine?
Unadhani ni mtu mzuri huyo anayehangaika na maiti?
Tatizo la Gwajima ni kukosa mantiki .

Kuunganisha utekaji wa raia na kufukuzwa kazi kwa viongozi wa vyombo.

Kwa argument ambazo Hazina mashiko anawachanganya akili simple folks ambao wanatazama wasomi ili wajue jambo la kufanya,na jambo la kusema.
Wewe mzee na wewe naona zile siku zako za degedege tayari,ndiyo maana uligombea Tsh.20k na watoto wadogo hadi wakakufurusha kule Mwitongo.
 
Shida iko wapi mkuu

Yaani wewe unashangaa nini ilihali Tisheti yako imeandika Ronald au Pepe, umewahi kusemwa au kuulizwa ni kivipi
Acha kutuaibisha wa Tz bana mbona mnafanya tuchekwe nyie ndio wasomi wa hii inchi afu unacomment ujinga. Yani hata hujui nafasi ya Gwajima kwa hii nchi ? hujui athari ya kila hatua anayopiga au neno analoongea then unaona nikitu cha kawaida kawaida tu.
Yani huwa nakasirika sana tunachekwa tuna IQ ndogo sababu ya watu kama nyie
 
Acha kutuaibisha wa Tz bana mbona mnafanya tuchekwe nyie ndio wasomi wa hii inchi afu unacomment ujinga. Yani hata hujui nafasi ya Gwajima kwa hii nchi ? hujui athari ya kila hatua anayopiga au neno analoongea then unaona nikitu cha kawaida kawaida tu.
Yani huwa nakasirika sana tunachekwa tuna IQ ndogo sababu ya watu kama nyie
Gwajima kuwa na bendera ya Israel kanisani kwake ni IQ ndogo siyo?

Wakati huo huo hujazungumzia bendera za Hamasi ndani ya majengo ya ibada na n.k

CCM mmerogwa si kwa ujinga huu
 
Wewe mzee na wewe naona zile siku zako za degedege tayari,ndiyo maana uligombea Tsh.20k na watoto wadogo hadi wakakufurusha kule Mwitongo.
Sasa Ile bendera ya Israel inaonyesha nini kuhusu imani yake Gwajima.?

Waisraeli anadhani wana Dini gani?

Askofu Gwajima anataka aonekane kwamba yeye peke yake ndiye mtetezi wa wanyonge.

Hao Waisraeli ndio wanaishambulia Gaza sasa hivi?

Nani anapenda kuona Wagaza wanashambuliwa namna ile?

Gwajima analeta multiple personality ambapo anataka awe na persona ya kuwa mtu mpole kumbe siyo sahihi hata kidogo.

Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka

Si ndio huyu Gwajima alikuwa akiongoza Kanisa la ufufuko na ibada za maiti? Au ni Gwajima mwingine? Unadhani ni mtu mzuri huyo anayehangaika na maiti?

Tatizo la Gwajima ni kukosa mantiki .Kuunganisha utekaji wa raia na kufukuzwa kazi kwa viongozi wa vyombovya Usalama.

Kwa argument ambazo Hazina mashiko anawachanganya akili simple folks ambao wanatazama wasomi ili wajue jambo la kufanya,na jambo la kusema.
Sasa Gwajima akiweka bendera ya Israel kanisani kwake nyie waislamu inawauma nini na nyie wekeni bendera ya Palestine kwenye misikiti yenu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom