Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
Ujio Mwema... naona umebadilisha tune yako ?!! Hiyo nimeipenda na kuikubali POINTs zako....!Aliyekwambia wale ni wakristo nani.....nchi za magharibi lazima ujue kuna jamii mpya imeibuka inaitwa Atheist....... Wengi wao hawapendi hizi dini coz wanaamin zina wabana kwenye mambo mengi...
Mi nawashangaaga hata watu wanaosema kuvaa nusu uchi ni utamaduni wa western sio kweli hizi ni jamii mpya zinazoibuka miongon mwetu...
Waislamu wamekuwa mwiba kwa West coz wanaleta vitu ambavyo havikubaliki na Wa west wameshajua tusubiri tuone uprisings inayokuja German ameshaanza....na wazungu personal wengi wamekasirika wanataka mabadiliko......subir tuangalie movie
Lakini mimi sikugusia Ukristo wala siku taja neno linalohusu Ukristo with all respect to Christo !! wewe unajisuta hapo !
Sasa Msafara utaendelea Non-stop kwa sababu tupo tusiotaka kubadili CIVILIZATION, mila,maadili yetu hata chembe Hata KITABU kitakatifu hatujabadili 1436 yrs !!
Wenye kutaka kuangalia Movie subirini tu...
Pamoja mpendwa
