Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Yes, hakuna tatizo, acha wauawe maana walikaribisha magaidi nchini mwao kwa kuyaonea huruma wakidhani yenyewe yana huruma kama Surat 48:29 inavyosema
Ufaransa kuna Waislam wengi tu wazungu wakuzaliwa achilia mbali waliosilimu.
 
Makanisa ya giza weka vipasa sauti wapita njia wasikie na itakuwa jambo jema ukasema kanisa lako nasiku unayotarajia kusema tafadhali sana tujuze lipo wapi!!!


Hivi siku moja watu wakiamua kuwatolea uvivu waweke Bible na Yesu pembeni mtakaa nyinyi ???acha kujipa ujinga.
 
Mimi naangalia tendo la Yesu kuwa msalabani, wala siamini ile mbao, hata nikiambiwa niichome moto nafanya hivyo

Tehee........tehee......tihiii ! juzi kule Songea wenzio walikuwa wanahangaika kutafuta Sanamu la Bikira Maria - Mamake mungu limeibiwa !
 
Waislamu Bwana sijui wakoje,wamepewa maisha mazuri France,bado wanawauwa Wafaransa,Wafaransa waache kuwapa permits hawa wauaji waarabu,Waarabu wanaiharibu France
Hao gunmen,ukiachia mmoja aliesikika akiongea kirusi,wengine ilikua ni pure french isiyo na rafudhi.
 
Naweza kuonekana mkatili kabisa kwa kuyasema haya ila ukweli lazima kuusema..... Hii demokrasia ya "ulaya" lazima iwatokee piani.... Wazungu wameruhusu hawa magaidi waingie na kuishi ktk nchi zao. Wajiandae kuumia zaidi!?


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Hata kama alimwaga mkojo, Yesu si mwanadamu, alikuja katika umbo la kibinadamu. Pole sana, Tatizo lako liko Surat AL Jinn
Mhariri Mkuu wa Charlie Hebdo Stephane Charbonnier miaka yote alikuwa anatembea na walinzi lakini leo ilikuwa mwisho wake walinzi wake walimkimbia chezea AK 47.
 
Naweza kuonekana mkatili kabisa kwa kuyasema haya ila ukweli lazima kuusema..... Hii demokrasia ya "ulaya" lazima iwatokee piani.... Wazungu wameruhusu hawa magaidi waingie na kuishi ktk nchi zao. Wajiandae kuumia zaidi!?


Sent from my iPhone using JamiiForums app
Hao waliofanya hiyo kazi ni wafaransa.
 
Mods mnafurahi watu wanakashifu imani za watu hapa? Jamani tujifunze kuvumiliana na kuheshimiana katika imani zetu.naomba mods mfute hii thread.
 
Akiuawa mtu mmoja tu ni kama imeuawa dunia nzima.

Two wrongs do not make a right.

Scadenfreude is crass.

Freedom of expression shall reign.

You can't stop knowledge by terror.
 
Leo nimeshuhudia Unafiki wa ulimwengu huu kwa kias kikubwa sana.

Leo hadi UN Security council imesimama na kutoa tamko kwa kuuwawa kwa wale watu 12 weengi wao waliokawa vinara wa kukashifu iman za watu na maisha yao kwa ujumla.

Watu mamillion kwa mamillion huko mideast wanauawa hatuskii matamko..hatuskii kulalama ulimwengu huu.

Hivi hawa wanaokufa huku mideast sio watu??

Mnawachonganisha ili muibe mafuta kisha mnawatengenezea sectarian violences huku mkiiba mafuta hamna mnachojali.

Hatushabikii mauaji yoyote lakin hizi double standards ni za nin?

Mnavyoumia kwa kupoteza ndugu zenu ndivyo hivyo hivyo wanavyoumia wenzenu.

Mnawaprovoke makusudi kwa kuwachora makatuni na kuwatukana bila sababu.

Mnatengeneza EXTRIMINISM wenyewe...mambo yakiharibika mnaanza kunyooshea watu vidole.

HESHIMA LAZIMA IWEPO.
huko mashariki ya kati wanapenda kufa kufa. Kwao kifo ni hobby na watu wameshazoea ndio maana hata ikijilipua misikitin kwa jina la mungu wao watu tunaona kawaida.
 
1. HOMEGROWN
Report: Paris Gunmen Born in France
updated01.07.15
Three men ages 18, 32, and 34 have been identified by French police as the gunmen behind the Charlie Hebdo attack, according to France'sMetronewspaper. Two of them, brothers, were born in France and are French nationals. The third is homeless and his nationality is not yet known. Police reportedly have all of their identities, but authorities have not yet released their names
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom