Mwaka jana tulilalamika kwa nn bei ndogo, mwaka huu tunalalamika kwa nn bei kubwa! Magu kazi anayo
Rekodi mpya: Gunia la mahindi lafika 20,000/-
Hii ni record mpya kuwahi kushuhudiwa Tanzania. Kwa mara ya kwanza gunia mahindi linauzwa kati ya Shilingi 20,000 hadi 27,000 kutegemea na eneo husika. Tanga gunia ni Tsh 25,000/- Mbeya 25,000/-, Sumbawanga na Rukwa 20,000. Wachambuzi wa mambo wanasema Tanzania ilikataa kuuzia Kenya mahindi...www.jamiiforums.com
Mimi sishangai sana bei kushuka na kupanda najua hizo ni kanunj za soko...law of demand and supply.....Mimi nachojialamu kwanini tunashindwa kutumia hizi boom and basts kujitajirisha?....ndani ya miezi nane iliyopita tu gunia lilikuwa elfu 20 leo ni laki,ni ongezeko la zaidi ya % 300 ya bei ya mwanzo....kwanini tunashindwa kutumia this opportunities to gain financial success?Mwaka jana tulilalamika kwa nn bei ndogo, mwaka huu tunalalamika kwa nn bei kubwa! Magu kazi anayo
Rekodi mpya: Gunia la mahindi lafika 20,000/-
Hii ni record mpya kuwahi kushuhudiwa Tanzania. Kwa mara ya kwanza gunia mahindi linauzwa kati ya Shilingi 20,000 hadi 27,000 kutegemea na eneo husika. Tanga gunia ni Tsh 25,000/- Mbeya 25,000/-, Sumbawanga na Rukwa 20,000. Wachambuzi wa mambo wanasema Tanzania ilikataa kuuzia Kenya mahindi...www.jamiiforums.com
Hapo ulipo unanunua gunia au kitini shilingi ngapi....Kama ni Shinyanga kawaida tu sababu huko wanalima sana Mpunga halafu kuna tabianchi ya nusu jangwa
Sio kila mtu anaweza kujadili kuhusu biashara.Kama ikiwa ni bei inayotoka kwa mkulima moja kwa moja basi itakuwa ni jambo jema angalau wakulima nao waneememke. Lakini ikiwa ni bei ya wanyanyabiashara wao wamenunua kutoka kwa wakulima kwa bei ya kutupwa basi hii itakuwa sio habari njema kwa walaji na wakulima.
Kama hujawahi kulima hata pilipili hoho hautaelewa nilichokiandika.Sio kila mtu anaweza kujadili kuhusu biashara.
Hilo gunia linasafirishwa bure toka Sumbawanga, Katavi kwenda kanda ya ziwa?
Gharama za kupakia, kushusha, ulinzi, na chakula na malazi ya mnunuzi akiwa huko ugenini kukusanya mahindi umehesabia?
Ushuru wa mazao kama mzigo umezidi tani 1 usisahau pia.
Kama ni Shinyanga kawaida tu sababu huko wanalima sana Mpunga halafu kuna tabianchi ya nusu jangwa
Hatuna jemaMwaka jana tulilalamika kwa nn bei ndogo, mwaka huu tunalalamika kwa nn bei kubwa! Magu kazi anayo
Rekodi mpya: Gunia la mahindi lafika 20,000/-
Hii ni record mpya kuwahi kushuhudiwa Tanzania. Kwa mara ya kwanza gunia mahindi linauzwa kati ya Shilingi 20,000 hadi 27,000 kutegemea na eneo husika. Tanga gunia ni Tsh 25,000/- Mbeya 25,000/-, Sumbawanga na Rukwa 20,000. Wachambuzi wa mambo wanasema Tanzania ilikataa kuuzia Kenya mahindi...www.jamiiforums.com