Gundua kitu kwenye hizi picha

Gundua kitu kwenye hizi picha

Picha ya mwisho hamna ubao wa kukalia, picha 3 kutoka juu ya huyo jamaa aliyebeba begi, kwenye hayo majani makavu chini kuna sura za watu.
Aisee wewe ni Nouma. Zile sura mwanzo hata sikuziona
 
Picha No.
3. Kuna vichwa vingi hapo chini zina sura kama ya jamaa alie simama na beg

4. Kwa hao wadada sita waliokaa kwenye sofa kuna mkoja hana miguu. Wapo sita lkn miguu mitano

5. Hao wadada watatu waliokalia bench haioneshi wamekalia nini, yani kitako cha benchi hakipo ila wamekaa

Hizo nyingine sijazipata bado, ngona nitazame tena
 
Picha ya kwanza ukiangalia kwa mbali karibu na goli la basketball kuna jinn mrefu sana kasimama.

Picha ya 2 sijui na ya 3 chini imezungukwa na michoro ya vichwa vya watu

Picha ya 4 aliekaa mkono wa kulia sio binadamu wa kawaida angalia alivyo mrefu

Picha ya 5 angalia vizuri nyuma yao kushoto kwenye mti
Sio mti bali wasichana wameshikana mkono ( ghost)
 
Picha ya ed sheeran hizo nyasi chini ni vichwa vya ed sheeran
 
Picha ya 2 Ni mbwa amelala,picha ya 3 nyuma yake Kuna sura nyingi ambazo unaeza ona ka majani ahaaaa haha we jamaa kiboko
 
1 Wanacheza volleyball
2 Fox na Sungura
3 Majani yana sura ya jamaa aliesimama
4 Mdada wa 3 kutoka kushoto hana miguu
5 Bench haina ubao wa kukalia
 
Picha ya tatu INA taswira zinazoonyesha kichwa cha huyo bwana kama background
 
Picha ya NNE huyoo binti wa tatu kapanua miguu hao mabint wawili wapembeni wakamkalia na kushare mguu mmoja mmoja kwa Kukunja NNE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom