stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,998
- 4,256
Angalia kwa makini..
Umegundua nini?
Umegundua nini?
Mambembe hujaona chochote?Ntarudi kusoma comment ......
Hata kapicha kamoja.[emoji3][emoji3][emoji3]Ntarudi kusoma comment ......
Kwakweli nimetoka kufanya kazi za watu nimechoka hata nikiangaliaa pichaa sioni kitu ndo maana nasubiria comment nisomeHata kapicha kamoja.[emoji3][emoji3][emoji3]
Umekosaaaa....Picha ya 5 ni kama hawa marafiki wana ubaguzi maana ni kama hawa wawilo wanapendana sana lakini wanamtenga mmoja
Hamna nomaTukupe mji boss
Hahahahhhh...Kwakweli nimetoka kufanya kazi za watu nimechoka hata nikiangaliaa pichaa sioni kitu ndo maana nasubiria comment nisome
[emoji23] tukupe tu mji ututajie majibu yoteUmekosaaaa....
Angalia benchi walilokalia[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaha angaliaa benchi lao halinaa zile za kukaliaa khaaaa kweli maswali magumu[emoji23] tukupe tu mji ututajie majibu yote
Yani mi akili saiz haipo bana haha maswali kama haya yaje asubhi akili ikiwa bado ya motoHahahaha angaliaa benchi lao halinaa zile za kukaliaa khaaaa kweli maswali magumu