Gundu ni Nini

Gundu ni Nini

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,959
Reaction score
828,674
Gundu ni...
Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂

Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafuni😂😂😂

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita ankunyea ,,unarusha jiwe ili ummpige unamkosa wakat huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la uso😂😂😂

Unakimbia ndani haraka ili asikuone
Unajisahau kumbe ulifung mlango wa chumban kwako kwa speed uliokuwa nayo breki inafel unajipigiza mlangon unazimia😂😂

Baada ya muda unazinduka ,,

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tena😂😂

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha,,

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwiz unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimia🎳

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi::::tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezima😂

Waigizaj na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospital(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengee unakunywa drip kwakujua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unpiga kelele😂

Wankuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mnabadilishan kitanda unajifunika shuka gubi gubi unalala,,

kumbe sehem alipo lala uyo jama alitakiwa akafanyiwe uparaeshen ya kichwa,,mwisho wa siku unapelkwa ww unaaenda kufanyiwa opareshi wakat hata hauumwi(unapelkewa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya usingiz unalala vizur)

baada ya upasuaj madokta ndo wanshtuka kuwa wamemix watu,wanakushona wankurudisha odini

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena kesho unaamka gundu limeisha😁😁
Copied!
1749802444440.jpg
 
Gundu ni...
Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂

Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafuni😂😂😂

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita ankunyea ,,unarusha jiwe ili ummpige unamkosa wakat huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la uso😂😂😂

Unakimbia ndani haraka ili asikuone
Unajisahau kumbe ulifung mlango wa chumban kwako kwa speed uliokuwa nayo breki inafel unajipigiza mlangon unazimia😂😂

Baada ya muda unazinduka ,,

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tena😂😂

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha,,

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwiz unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimia🎳

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi::::tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezima😂

Waigizaj na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospital(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengee unakunywa drip kwakujua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unpiga kelele😂

Wankuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mnabadilishan kitanda unajifunika shuka gubi gubi unalala,,

kumbe sehem alipo lala uyo jama alitakiwa akafanyiwe uparaeshen ya kichwa,,mwisho wa siku unapelkwa ww unaaenda kufanyiwa opareshi wakat hata hauumwi(unapelkewa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya usingiz unalala vizur)

baada ya upasuaj madokta ndo wanshtuka kuwa wamemix watu,wanakushona wankurudisha odini

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena kesho unaamka gundu limeisha😁😁
Copied!View attachment 3366688
Gundu ilinikumba mwa 2021😂😂😂😂.
Ilikuwa ngori!
 
Gundu ni...
Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂

Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafuni😂😂😂

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita ankunyea ,,unarusha jiwe ili ummpige unamkosa wakat huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la uso😂😂😂

Unakimbia ndani haraka ili asikuone
Unajisahau kumbe ulifung mlango wa chumban kwako kwa speed uliokuwa nayo breki inafel unajipigiza mlangon unazimia😂😂

Baada ya muda unazinduka ,,

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tena😂😂

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha,,

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwiz unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimia🎳

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi::::tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezima😂

Waigizaj na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospital(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengee unakunywa drip kwakujua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unpiga kelele😂

Wankuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mnabadilishan kitanda unajifunika shuka gubi gubi unalala,,

kumbe sehem alipo lala uyo jama alitakiwa akafanyiwe uparaeshen ya kichwa,,mwisho wa siku unapelkwa ww unaaenda kufanyiwa opareshi wakat hata hauumwi(unapelkewa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya usingiz unalala vizur)

baada ya upasuaj madokta ndo wanshtuka kuwa wamemix watu,wanakushona wankurudisha odini

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena kesho unaamka gundu limeisha😁😁
Copied!View attachment 3366688
Aliyegundua Pombe ametuachia msala mzito..
 
Gundu ni kuoa mchaga ukiumwa tu anakupikia dagaa.

Ili utumbo uchomwe chomwe na miba uzimie - Ukizinduka amekupikia dagaa wengine tena.

Unakula unakufa moja kwa moja 😆
 
Gundu ni...
Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂

Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafuni😂😂😂

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita ankunyea ,,unarusha jiwe ili ummpige unamkosa wakat huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la uso😂😂😂

Unakimbia ndani haraka ili asikuone
Unajisahau kumbe ulifung mlango wa chumban kwako kwa speed uliokuwa nayo breki inafel unajipigiza mlangon unazimia😂😂

Baada ya muda unazinduka ,,

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tena😂😂

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha,,

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwiz unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimia🎳

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi::::tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezima😂

Waigizaj na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospital(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengee unakunywa drip kwakujua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unpiga kelele😂

Wankuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mnabadilishan kitanda unajifunika shuka gubi gubi unalala,,

kumbe sehem alipo lala uyo jama alitakiwa akafanyiwe uparaeshen ya kichwa,,mwisho wa siku unapelkwa ww unaaenda kufanyiwa opareshi wakat hata hauumwi(unapelkewa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya usingiz unalala vizur)

baada ya upasuaj madokta ndo wanshtuka kuwa wamemix watu,wanakushona wankurudisha odini

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena kesho unaamka gundu limeisha😁😁
Copied!View attachment 3366688
Hahaha ilimradi tu ufe sio🤣
 
Gundu ni...
Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂

Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafuni😂😂😂

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita ankunyea ,,unarusha jiwe ili ummpige unamkosa wakat huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la uso😂😂😂

Unakimbia ndani haraka ili asikuone
Unajisahau kumbe ulifung mlango wa chumban kwako kwa speed uliokuwa nayo breki inafel unajipigiza mlangon unazimia😂😂

Baada ya muda unazinduka ,,

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tena😂😂

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha,,

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwiz unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimia🎳

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi::::tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezima😂

Waigizaj na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospital(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengee unakunywa drip kwakujua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unpiga kelele😂

Wankuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mnabadilishan kitanda unajifunika shuka gubi gubi unalala,,

kumbe sehem alipo lala uyo jama alitakiwa akafanyiwe uparaeshen ya kichwa,,mwisho wa siku unapelkwa ww unaaenda kufanyiwa opareshi wakat hata hauumwi(unapelkewa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya usingiz unalala vizur)

baada ya upasuaj madokta ndo wanshtuka kuwa wamemix watu,wanakushona wankurudisha odini

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena kesho unaamka gundu limeisha😁😁
Copied!View attachment 3366688
Kwa ugumu huu wa maisha, afadhari siku mojamoja tuwe tunaletewa vichekesho.
Ila mbona kama kuna visa vya kweli...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom